Ally Kombo
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 11,429
- 2,645
Rwakatare kaiba sana mitihani leo mko kimya !Hahaaa kuna kipindi eatv kinaitwa hot mix yaani sikielewi kama hawa shemeji zangu wazenji
Rwakatare kaiba sana mitihani leo mko kimya !Hahaaa kuna kipindi eatv kinaitwa hot mix yaani sikielewi kama hawa shemeji zangu wazenji
lugha ni lugha tu, hata kimachinga ! Issue ni kwanini majibu hayafanani nAukweli ?
Rwakatare kaiba sana mitihani leo mko kimya !
kukariri ndo kumeifanya Quran ni original mpaka leo ! Una Bible original ?? ! Kujiuliza ndo huko sasa !Acha jazba, kama kuna mtu anadhani ameonewa sheria inamruhusu ku-appeal. Mtihani unasahihishwa mbele yake na mashahidi, mbona kila siku ngonjera tu hamna hata mmoja wenu aliyewahi kuappeal?
Hilo suala la kufeli Islamic knowledge na wengine kufaulu Bible Knowledge nalo unataka kumlaumu nani. Zile bakora na kulazimishana kukariri maneno ya kiarabu uliambiwa zina msingi ktk kumfanya mtoto aelewe? Kaeni chini mjiulize sio kelele zisizo na msingi.
kwani hiyo mitihani ya dini wanai mark watu wa aina gani? mgalatia anaweza kusahihisha mtihani wa islamic knowledge?issue hapo si Uzanzibar, Wagalatia mna roho ya choyo na ndo maana mnakurupuka kuchangia ! Mmejaa dharau na kiburi, lete 'contents' za hiyo habari, lakini karibuni tu mtaumbuka. Walim wa Kiislaam wanahoji iweje 70pcnt ya Wanafunzi wafeli Islamic Knowl. Lakini hapo hapo 90pcnt wamepasi Bible Knowl ? Imejengwa hoja kwa data ! Na hili litaumbua watu karibuni tuu !
kukariri ndo kumeifanya Quran ni original mpaka leo ! Una Bible original ?? ! Kujiuliza ndo huko sasa !
kwani hiyo mitihani ya dini wanai mark watu wa aina gani? mgalatia anaweza kusahihisha mtihani wa islamic knowledge?
kukariri ndo kumeifanya Quran ni original mpaka leo ! Una Bible original ?? ! Kujiuliza ndo huko sasa !
Kipindi hiki mna mpango wa kufuta maneno gani!?Umeshindwa mitihani ya kidunia utaweza Bible? Biblia ni Gombo la Chuo. Haisomwi kwa kukariri na kupoteza muda mpk ukose muda wa kunyoa ndevu. Ili uielewe yahitaji busara na uchaji kwa Mungu si pepo mchafu.
Hapo umeulizwa kwa nini hamu-Appeal mitihani unakimbilia kwenye Bible. Swali ni hivi: Kama mna hakika kuwa mnaonewa kwenye usahihishaji, si muappeal ili irudiwe kusahihishwa na ukweli ujulikane? Sasa hamuoni aibu kupiga kelele za kimbeambea tu kutwa kucha?
Kama kweli mnadhani mnaonewa sheria ipo wazi, nenda baraza la mihitani uwaambie kuwa unataka mtihani wako usahihishwe ukiwepo lkn sio kuleta mambo ya kinamama wa kiswahili ya kuchonga mdomo tuuu km mwimba taarab
Kipindi hiki mna mpango wa kufuta maneno gani!?
Mkuu wewe inafaa uwaelimishe wenzio kuhusu hili!
Nashukuru kwa upande wako umelitambua!
Very shallow and pathetic when comes to logic. Huu ndio ujinga wenyewe unaowafanya mfeli na kusingizia watu wengine, hapa swali la msingi uliloulizwa ni kwa nini hamu-appeal. Tazama ulivyo mswahili usiye na pa kusimamia, umekimbia kujibu swali unaleta ngonjera za kubadili mistari.
Kiukweli km akili ipo basi itumike kusolve matatizo. Huu mtindo wa kuongozwa na watu ambao kwao darasa la saba lenyewe walikutana nalo kwa bahati mbaya ndio msingi wa udumafu wa jamii yenu. Jibu hoja ya msingi, acha maneno ya kuunga unga.
Kama mnaamini mitihani yenu husahihishwa kwa hila, mlishawahi kua-appeal?
issue hapo si Uzanzibar, Wagalatia mna roho ya choyo na ndo maana mnakurupuka kuchangia ! Mmejaa dharau na kiburi, lete 'contents' za hiyo habari, lakini karibuni tu mtaumbuka. Walim wa Kiislaam wanahoji iweje 70pcnt ya Wanafunzi wafeli Islamic Knowl. Lakini hapo hapo 90pcnt wamepasi Bible Knowl ? Imejengwa hoja kwa data ! Na hili litaumbua watu karibuni tuu !
Kaka hayo ni matusi sasa, siungi mkono. Kama huna la kuongea muache Bajabiri aseme na wanaohitaji msaada wa kuelewa.
waislam tukifeli mitihani ya kidunia basi inshaalah tutafaulu akhera innalilah wahinnah......
watz tunaacha kujadili mambo ya msingi km umaskini tulio nao tunajikita ktk tofauti za kidini! Km kuna malalamiko ktk usahihishaji,taratibu za rufaa zipo wazi!