Walikuwa wanamaanisha kuwa wasomi wengi ni wanafiki. Juzi juzi ndio wao pamoja na kukosa pesa walijitolea kumchangia na kumdhamini huyo wanayesema ana serikali ya kishkaji.
Nakereka nikiona maandamano ya vyuo vikuu. Mara wawalalamikie, mara wawasifie viongozi, unafiki mtupu
Nakereka nikiona maandamano ya vyuo vikuu. Mara wawalalamikie, mara wawasifie viongozi, unafiki mtupu
mimi nadhani msomi ndiye mtu wa kwanzza anayepaswa kujitambua....tatizo hapa nchini kwetu,wasomi wengi wanajitambua "negatively",badala ya kufanya mema na kusaidia wananchi,waningia kwenye mkumbo wa maisha ya kujilimbikizia mali, whether kwenye siasa au mambo mengine..
tatizo wengi wa wasomi wa vyuo wameingia vyuoni kwa uwezo mkubwa wa kukariri
na uwezo wa kuwa wadadisi na wafikilivu, waelewa wenye akili ya kujitegemea kuwaza
saa ingine hapo walikaririshwa tu wafanye hivyo
hiyo imepelekea hata wawapo kwenye mambo nyeti kama hayo hujikuta kuwa
wanalalamikia wasichokijua, na wanakijua wasichokilalamikia
wanavaa wakati wa kuvua, na wanavua wakati wa kuvaa
Nakereka nikiona maandamano ya vyuo vikuu. Mara wawalalamikie, mara wawasifie viongozi, unafiki mtupu
Mkuu Anyisile hauko sahihi sana kwa ulichoandika. baada ya kuangalia hiyo picha ilikupasa urudishe kumbukumbu zako nyuma na kujiuliza; Picha hiyo ilipigwa lini? Ilipigwa chuo gani? Nini lilikuwa suala la msingi mpaka hao wakaandamana? Maana ya ujumbe uliopo hapo ndani ya mabango? Nini yalikuwa matokeo ya ujumbe wa bango hilo na maandamano/mgomo wao?
Usikurupuke tu kudharau wakati unaonyesha ni bingwa wa kusahau( unamatatizo makubwa). Nani kakwambia kuwa walikaririshwa wafanye hivyo? Rudia kuyasoma mabango yote mawili, halafu tumia akili yako kuyatafsiri maudhui yake
Labda kukukumbusha wewe nawale wengine wanaotafsiri vibaya ni kuwa picha hiyo ilipigwa pale UDSM-Main campus wanachuo walikuwa wakilalamikia kutopewa pesa zao toka Bodi ya Mikopo.
Hawa wasomi walitumia fikra zao kiusahihi katika kutafuta chanzo cha matatizo waliyonayo. Japo kwa nje tatizo laonekana ni Bodi ya Mikopo, lakini kiuhalisia tatizo la msingi lilikuwa serikali ambayo watendaji wake walichaguliwa ama kupewa vyeo kwakuwa ni marafiki wa Jakaya Kikwete au walimsaidia kuingia madarakani (connect na yule mama aliyekuwa anahusika na kashfa za EPA akapelekwa kwenye Bodi hiyo).
Japo walisalitiwa na yule Raisi wa TAHLISO (ambaye ni kada CCM) na kisha kufukuzwa, ukweli umebaki vilevile hadi leo ya kwamba "TANZANIA TUMEPATA MATATIZO MAKUBWA SANA KATIKA AWAMU HII YA NNE HATA WENGINE KUSHINDWA KUWAJIBISHWA JAPO NI WEZI, KWASABABU TU NI WASHIKAJI (MARAFIKI,VIBARAKA,etc) wa KIKWETE".
Need I say more?
Naomba tujiulize wanafunzi hao walikuwa waongo?
nashukuru san amkuu lakini nadhani huo ni ukweli japo wewe umeona kuwa nimeangalia sana upande mmoja na kukurupuka kutoa mawazo yangu, pengine siwezijua wewe uko upande gani katika hilo uwazi uko pale pale kuwa wasomi wa tanzania ni wababaishaji tu, hilo hatuwezi kulivika nguo lionekane kama unavyotaka, unafiki wetu wa kutaka kuvuna wakati hatujapanda, na kutaka kupanda ambacho hatutavuna ndiyo ulikutawala wewe katika mawazo yako na kuona wakati wasomi walizalisha lililo jema katika nchi hii,Mkuu Anyisile hauko sahihi sana kwa ulichoandika. baada ya kuangalia hiyo picha ilikupasa urudishe kumbukumbu zako nyuma na kujiuliza; Picha hiyo ilipigwa lini? Ilipigwa chuo gani? Nini lilikuwa suala la msingi mpaka hao wakaandamana? Maana ya ujumbe uliopo hapo ndani ya mabango? Nini yalikuwa matokeo ya ujumbe wa bango hilo na maandamano/mgomo wao?
Usikurupuke tu kudharau wakati unaonyesha ni bingwa wa kusahau( unamatatizo makubwa). Nani kakwambia kuwa walikaririshwa wafanye hivyo? Rudia kuyasoma mabango yote mawili, halafu tumia akili yako kuyatafsiri maudhui yake
Labda kukukumbusha wewe nawale wengine wanaotafsiri vibaya ni kuwa picha hiyo ilipigwa pale UDSM-Main campus wanachuo walikuwa wakilalamikia kutopewa pesa zao toka Bodi ya Mikopo.
Hawa wasomi walitumia fikra zao kiusahihi katika kutafuta chanzo cha matatizo waliyonayo. Japo kwa nje tatizo laonekana ni Bodi ya Mikopo, lakini kiuhalisia tatizo la msingi lilikuwa serikali ambayo watendaji wake walichaguliwa ama kupewa vyeo kwakuwa ni marafiki wa Jakaya Kikwete au walimsaidia kuingia madarakani (connect na yule mama aliyekuwa anahusika na kashfa za EPA akapelekwa kwenye Bodi hiyo).
Japo walisalitiwa na yule Raisi wa TAHLISO (ambaye ni kada CCM) na kisha kufukuzwa, ukweli umebaki vilevile hadi leo ya kwamba "TANZANIA TUMEPATA MATATIZO MAKUBWA SANA KATIKA AWAMU HII YA NNE HATA WENGINE KUSHINDWA KUWAJIBISHWA JAPO NI WEZI, KWASABABU TU NI WASHIKAJI (MARAFIKI,VIBARAKA,etc) wa KIKWETE".
Need I say more?
Naomba tujiulize wanafunzi hao walikuwa waongo?