Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 233
Le0 hii mchana kutwa network ya LUKU Tanesco ilikuwa haipatikani, maelfu ya wateja walikuwa wanahaha kutafuta kununua umeme.
Hii ndiyo njia mojawapo Tanesco inavyojimaliza kimapato kwani itokeapo hitilafu katika network ya kuuza LUKU, kwa saa moja Tanesco hupoteza mamia ya mamilioni, nchini kote.
Piga hesabu kwa mwaka mzima, Tanesco hupoteza mapato kiasi gani kutokana na hitiliafu katika network yake ya mauzo? Yumkini ni mabilioni!
Halafu hapo hap[o Tanesco wanakuja na hoja ya kutaka kuongeza viwango vya umeme!!
Hali hii inasikitisha sana. Tanesco ilikuwa inapoteza mabilioni kila mwaka kutokana kushindwa kukusanya madeni yake. Ikaamua kuiingia mfumo wa LUKU na mambo ni kama vile vile tu -- kupoteza mapato kutokana na kushindwa kusimamia network!
Hivi hawa Tanesco ni kitu gani hasa wanaweza?
Hii ndiyo njia mojawapo Tanesco inavyojimaliza kimapato kwani itokeapo hitilafu katika network ya kuuza LUKU, kwa saa moja Tanesco hupoteza mamia ya mamilioni, nchini kote.
Piga hesabu kwa mwaka mzima, Tanesco hupoteza mapato kiasi gani kutokana na hitiliafu katika network yake ya mauzo? Yumkini ni mabilioni!
Halafu hapo hap[o Tanesco wanakuja na hoja ya kutaka kuongeza viwango vya umeme!!
Hali hii inasikitisha sana. Tanesco ilikuwa inapoteza mabilioni kila mwaka kutokana kushindwa kukusanya madeni yake. Ikaamua kuiingia mfumo wa LUKU na mambo ni kama vile vile tu -- kupoteza mapato kutokana na kushindwa kusimamia network!
Hivi hawa Tanesco ni kitu gani hasa wanaweza?