JosephNyaga
JF-Expert Member
- Apr 28, 2014
- 291
- 232
Ewe dada kama bado hujatumia dawa hizi jua kwamba bado hujachelewa, na pia kwa wale wadada wanaotumia dawa za uongeza makalio yao wakiamini kuwa ndio wataonekana wazuri na kuwavutia wanaume, au labda haujatumia ila unafikiria kutumia siku moja,angalia hapa alafu utapata jibu utumie au ubaki na maumbile yako ya halisi.
Huu ni mfano tu wa makalio yaliyoungua na kuoza baada ya kukuzwa na mchina.
Huu ni mfano tu wa makalio yaliyoungua na kuoza baada ya kukuzwa na mchina.