Angalia hii: The bold,the georgeous and powerful love!

Teamo

JF-Expert Member
Jan 9, 2009
12,272
1,035
Haya yanaweza kuwa mapenzi . 'hata kama ni something superficially',ingefaa kwa 'viongozi wa afrika' ukawa mfano wa kuigwa,ili na wale wanaowapigia kura wawe na 'point of reference'
 

Attachments

  • PIC.pdf
    60.2 KB · Views: 200
  • PIC 2.pdf
    53.3 KB · Views: 168
  • PIC 3.pdf
    52.9 KB · Views: 153
Viongozi wa kibongo ni watu wa ndogo ndogo tu; mara nyingi huwaacha wake zao nyumbani kwenye safari zao za ujiko! We angalia wakulu wanapokwenda America wanaongozana na mensab wao?
 
Just beautiful!

(God help me to get a husband like this)
 
Just beautiful!

(God help me to get a husband like this)

HAHAHA!umesikika.subiri private msgs utaona watoto wa-kiume wanavyojituma 'KUSUBMITT TENDER'
 
Viongozi wa kibongo wako busy na ufisadi; watawezaje kupiga picha au kutulia na wake zao?

Jamani huyu ni rais na kama walivyo marais wote anapaswa atembee na kumpublicise mkewe of which marais wetu pia hufanya mf. Mwinyi, Kikwete na hata Mkapa waliwapublicise wake zao au sijaelewa?

Kwa case ya Obama hana tofauti na Mkulu wetu hapa bongo but we cant speak of his ministers kama nao wako kama wetu ..........!!
 
Mwana unamaanisha na Obama nae ana nyumba ndogo?


Simaanishi hivyo ndo mana nikauliza kama nimemix sikuelewa. Nilichoelewa ni kuwa hizi pics zinamwonyesha Obama na mkewe na mtoa mada akasema na viongozi wetu wawe hivi nikaelewa kuwa rais anatakiwa kumpublicise mkewe na kusafiri naye kila aendako na mkewe huyo awe anatambulika na watu wote. Of which hata Kikwete anafanya. Asa hayo ya nyumba ndogo sikuwa nimeyafikiria kwa kuwa hayajakuwa potrayed kwenye picha hizo (in short that is the message that I got after looking at the pic)

But hey as far as Obama is concerned......can we speak on his behalf? Inawezekana akawa nao maana mbona Clinton pamoja na kumtambulisha Hillary dunia nzima na kwenda naye kila kona bado kina Lewinsky walikuwepo?
 
nipo tayariii..

una mapenzi lakinii au wataka mbwembweee tuuuuuu

Nyauba,

Mapenzi ninayo mengi tu, kama uko tayari we can try but, ondoa aibu za ki-africa maana I like "openess"
 
:wink:

Nyauba, unaona hii picha?

This's how I like it to be... most of the times.
And I'll do even more in return...lol!
 
Simaanishi hivyo ndo mana nikauliza kama nimemix sikuelewa. Nilichoelewa ni kuwa hizi pics zinamwonyesha Obama na mkewe na mtoa mada akasema na viongozi wetu wawe hivi nikaelewa kuwa rais anatakiwa kumpublicise mkewe na kusafiri naye kila aendako na mkewe huyo awe anatambulika na watu wote. Of which hata Kikwete anafanya. Asa hayo ya nyumba ndogo sikuwa nimeyafikiria kwa kuwa hayajakuwa potrayed kwenye picha hizo (in short that is the message that I got after looking at the pic)

But hey as far as Obama is concerned......can we speak on his behalf? Inawezekana akawa nao maana mbona Clinton pamoja na kumtambulisha Hillary dunia nzima na kwenda naye kila kona bado kina Lewinsky walikuwepo?

I don't believe Obama is like that, I don't him that much but, he seems to respect himself and his wife well.
 
Back
Top Bottom