Angalia hii Picha, then TAFAKARI

MaxShimba

JF-Expert Member
Apr 11, 2008
35,772
4,054
481925_341266005959349_110058125_n.jpg
 
Mkuu. . . Afadhali mihogo ipo, mibichi unakula, ukichemsha mwake tu, ukikaanga shega, ukikausha na kusaga upate unga unapiga game na maharage, au hata mchicha pori.

Ila daaaah!!!
 
Mtoto anaonekana kachoka halafu ana njaa.
Maisha bora kwa kila mdanganyika.

Mimi naona naona dogo kama vile kiburi hataki kazi anataka acheze na wenzake,inaonekana kama amalazimishwa kufanya kazi,ila hiyo picha imenikumbusha mbali sana maana hiyo kazi ya kumenya mihogo nimeifanya sana kijijini enzi hizo.
 
Muhogo ni moja ya vyakula duni kuliko vyote duniani, hakina chochote zaidi ya hamirojo. Lakini ni moja ya vyakula vikuu vya Mtanzania, haswa vijijini, na ndo sababu tunadumaa miili na akili.
 
Sad...yaani inaonesha kiasi gani maisha yalivokuwa magumu.

Sent from my BlackBerry 9100 using JamiiForums
 
mkuu. . . Afadhali mihogo ipo, mibichi unakula, ukichemsha mwake tu, ukikaanga shega, ukikausha na kusaga upate unga unapiga game na maharage, au hata mchicha pori.

Ila daaaah!!!

umenifurahisha sana mkuu,
nimegundua muhogo una-resource zote kaka
unakupatia unga,mohogo wenye unaweza kuula kama ulivyo andika hapo juu...pia majani yake mboga alikadhalika miti yake kuni...duh.....yani kitu full-nondo mkuu...kweli wewe unaona mbali.
 
Mimi naona naona dogo kama vile kiburi hataki kazi anataka acheze na wenzake,inaonekana kama amalazimishwa kufanya kazi,ila hiyo picha imenikumbusha mbali sana maana hiyo kazi ya kumenya mihogo nimeifanya sana kijijini enzi hizo.

teh! Wakumenya "mihogo" huwa wanasema? Kwa hiyo siku hizi unafanya kazi gani.
 
Mtoto yupo comfortable kabisa...pengine anaanda hogo la kutengeneza bada au anataka kujipongeza kwa kumung'unya japo kipande baada ya mauzo
 
Sad...yaani inaonesha kiasi gani maisha yalivokuwa magumu.

Sent from my BlackBerry 9100 using JamiiForums

Mkuu mbona sie huku kwetu ndo mwendo wenyewe,hakuna cha ajabu hapo,labda kwa wale from affluent families,lakini zaidi ya asilimia sabini ya watanzania ndo maisha yetu hayo
 
jamani ila hapa naona shid ani kwa wazazi ama walez wa huyu mtoto. hivi mpaka umeichimba kuleta nyumban basi kwanini usimenye na kuipika ili mtto ale? kweli awe we doing fair to our kids? utakuta mama kabaki na shughuli zake badala ya kumuhudumia huyu asiyeweza kujiduhumia.

hapa tatizo hata siyo la serikali jamani hili ni la wazazi na walez. nina mfano wa familia moja kiukweli kabisa baba na mama ni waathirika na wamezaa mara 6 kati ya hao deceased ni wawili, wawili mabinti ni waathirika na wawili ndo wazima. hii familia wanaish shamba ambako wao hata nyumba ni tabu, lkn nipenda kwani wanalima mboga na mihogo wanapata lishe yaani ukiambiwa watoto wale ni waathirika utakataa kwa jinsi walivyo nawiri.

hivyo si kukimbilia kukosoa serikali mahai ambapo mtu binafsi inabidi uonyeshe juhudi zako.
 
Inawezekana anacheza tu. Watoto wa kiume wana mambo sana. Si ajabu anafurahia utundu wake tu hapo, and life goes on.

hata "jua kali" alipoulizwa kwa nini Tanzania ni nchi maskini akajibu hajui ila Tanzaninia sio maskini labda watanzania ndio maskini.. Si ajabu alikua anafurahia kuitwa Mh. Raisi. At the end ov ze day lyfe goes on.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom