Namkubali sana huyu jamaa wa mbele upande wa kulia mwenye shati jeusi na jinsi, aliyenyoosha ngumi juu (Marcus). Ninavyomfahamu kwa ukaribu ni mwanahrakati wa ukweli asiye muoga.
Huko nyuma yuko jamaa kavaa fulana ya Vodacom ya Chama gani?
Hapo kila mtu na ukereketwa wake, na huyo aliyevaa Kombati jeusi ni Marcus aligombea kura za Maoni Mvomero na Makalla akawa wa3 nyuma ya mbunge aliyekuweko enzi hizo.
Alama ya V ni alama ya ushindi hapo kila mtu ana vyake kamshinda Aghondi, GOVT, TISS, nk
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.