Poor HR recruitment, ita watu wachache wenye sifa kwa interview. Ni upumbavu kuitakia watu mia kwa nafasi kumi.
Hawa ni 1st year au?
Ajira hizo we Husninyo
Wangepokea maombi kisha wakachuja kutokana na CVs jinsi zilivyokaa baadae wakatangaza majina machache ambayo ndiyo yatafanyiwa interview.nashangaa kwani walipotuma maombi hawakutuma na cv zao? Kwanini chuo hakiuanza kufanya mchujo kwa cv na kuwabakisha wachache kwa interview.
kongamano la Udom kujitangaza na kujisafisha kisiasa,kuwa hakuna ajira za kufahamiana