Angalia Haki ya Mtumia Umeme Ghana

Wandugu msitie shaka, ile nguvu ya uchawi inayowatia usingizi viongozi wetu wasiweke kipaumbele kwenye mambo ya maendeleo sasa inaanza kuporomoka. Maana haiingii akilini eti pesa za kuwekeza kwenye umeme hazipo ili hali mabilioni ya pesa zaidi ya 200 za kutengeneza vitambulisho visivyo na maana yoyoyte kwa maendeleo yetu eti zipo. Something must be wrong somewhere. Tuzido tu kumwomba MUNGU na kuangusha nguvu za giza zinazowafunga viongozi wetu ili akili zao zifunguliwe watoe kipaumbele kwenye mambo ya maendeleo ikiwemo sekta ya umeme.
 
Sasa ukitaja proffessional yako ndio unataka uachwe tu! Ulete vitu vina hang hapa halafu vipite salama kwa sababu wewe umesema? Unajua proffessional ya kila mtu? Hebu tafuta Index zote unazozifaham kuanzia ile ya Transparency, MO, Human Rights etc halafu njoo useme hayo maneno yako. Huko Ghana asilimia ngapi wanapata umeme? Institution quality in terms of governance zikoje? South Africa yenyewe inayosemekana better kuna madudu kibao. Narudia tena na tena kila sehem ina sweeping statements na kwa Africa tunayo na ndio hiyo, Afrika yote ni sawa.

Profession yangu ni ipi? Hata kama ingekuwa ni 1% ya watu wa Ghana ndio wanaopata umeme (which is not), hiyo asilimia WANAHAKIKISHIWA KISHERIA kupata huo umeme. Weka statistics zinazohusiana na "quality in terms of governance" as well as hayo "madudu kibao ya SA" hapa tuone.

"Sweeping statements" ni jadi ya "failed leaderships". Ikiwemo ya kwetu - especially the current one. Figures (and current experience on quality of life in Tanzania) DO NOT LIE!
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom