Riccristin
JF-Expert Member
- Nov 30, 2011
- 350
- 51
Mwenye nayo ani pm tufanye biashara...
Nina laki tatu na nusu!
Nina laki tatu na nusu!
Nina Android phone(htc) lakini sio ya laki 3 ni ya laki 5.
Nenda Posta utapata!!!!!!
nkupe I phone 3gs,mpya
imetengenezwa wapi?
Kiwandani!!
nkupe I phone 3gs,mpya
ninayo ideos x5 wahitaji?
android ni O.S inayotumika kwenye device nyini sasa, simu na hata tablets,
ukisema unahitaji simu ya android unakuwa too general ni vema ukasema brand name ya hiyo simu unayotaka, au vigezo vya hiyo simu yenye O.S ya android,
Ukiwa specific hivyo ni rahisi mtu kukusaidia,