Android Camera Out Soon!!

Endangered

JF-Expert Member
Sep 22, 2011
922
228
Najua huku tunakoelekea "tekelinatujia" kwa haraka sana, sasa Nikon wanatyoa kitu Coolpix S800c, hii camera ina Android OS. na bei yake si haba, mnamo Septemba inategemewa kuwa sokoni si zaidi ya dola za kimarekani 400.

Pamoja na hayo ina GPS, WiFi, Full HD, 10x Wide Zoom, 8fps, na licha ya hivyo kama huna wifi connection, still inaweza kuconnect na smartphone or tablet yenye mobile broadband access. kwa mantiki hiyo, utadownload apps/gamnes na kutumia kwenye kamera kama kawaida.
S800c_BK_front_back_610x311.jpg


1.4 GB internal memory, na slot ya SD card.

Nawasilisha!
 
kuna hawa jamaa wasiotaka kuona wenzao wana vitu vizuri washaidaka hio technologia soon samsung galaxy ambayo itakua powered na 16mp shoot and point camera. Mi najiuliza swali why samsung hutoa vitu vizuri pale wenzao wanapoanounce je ni kweli hawa ni copy an paste? Oneni hii simu

gsmarena_001.jpg
 
kuna hawa jamaa wasiotaka kuona wenzao wana vitu vizuri washaidaka hio technologia soon samsung galaxy ambayo itakua powered na 16mp shoot and point camera. Mi najiuliza swali why samsung hutoa vitu vizuri pale wenzao wanapoanounce je ni kweli hawa ni copy an paste? Oneni hii simu

gsmarena_001.jpg

Sasa Chief hii tutaiitaje? Simu yenye camera ama Camera yenye simu.
naitazama lakini siimalizi hata.
 
Amini nawaambieni hivi karibuni kutakua na vitu vya jabuajabu vya android,
Haya nyingine hiyo inaitwa OUYA GAMING CONSOLE powered with Android ICS
2673637863.jpeg

Hebu Google ANDROID TV BOX Mjionee wenyewe
 
Mkuu NingaR, sometimes huwa nawaza 5 years to come teknolojia itakuwa imefikia wapi, nasshindwa kupata majibu.
html5, game developers, motion sensing devices, maybe web 3.0, mara apple, huku microsoft, Google nao wamo.
rom chogo Tv to LED to ..I don't know what.

Ee Mungu tunaomba uzima tushuhudie haya mabadiliko.
 
Last edited by a moderator:
Pia msisahau Google wana kitu inaitwa GOOGLE GLASSES
google-glasses.jpg

Soon hawa jamaa wataleta Viatu vya Google, magari ya Google, oven za Google, fridge za Google, ATM powered by Google……n.k
Teh teh teh teh
 
Mkuu NingaR, sometimes huwa nawaza 5 years to come teknolojia itakuwa imefikia wapi, nasshindwa kupata majibu.
html5, game developers, motion sensing devices, maybe web 3.0, mara apple, huku microsoft, Google nao wamo.
rom chogo Tv to LED to ..I don't know what.

Ee Mungu tunaomba uzima tushuhudie haya mabadiliko.

Hua naamgalia YouTube chanel flan hivi inaitwa SorceFed hawa jamaa wanatoa technological news kwa njia ya ucheshi, one day nilicheki wanasema eti kuna scientists wamegundua kichip ambacho kiko electrically powered kinafungwa jichoni mwa kipofu then anaona, 5 years to come itakua nowma aiseee
 
Last edited by a moderator:
Naomba kueleweshwa ukisema android unamaanisha ni aina ya cm (make) au OS au kitu gani..?
 
Naomba kueleweshwa ukisema android unamaanisha ni aina ya cm (make) au OS au kitu gani..?

Android ni operating system (OS) inayotumia na kifaa husika cha kielectronic hasa makampuni ya Samsung,Sony,HTC etc,Pia kuna SYMBIAN inayotumiwa zaidi na Nokia na kuna Apple inayotumiwa na makampuni ya apple! Zote hizo ni operating systems tu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom