Bluray
JF-Expert Member
- Mar 25, 2008
- 3,449
- 127
oooh nishajuwa tatizo lako ...si kosa lako!!!
alafu..huyo mzee zubeir mtemvu mwazilishi wa ANC ....Mwanaye amekubali kusettle kwa nafasi ya ukuu wa wilaya na ubunge....
Hahaaaaa, mzee unaniogopesha, una telepathy au nini? Tatizo langu nini? Maswali hayajajibiwa.Blame it on the Zeitgeist? au spin inakosa steam?
Kuhusu Mtemvu, a tragedy, ni mambo ya ku give up na kukubali kula makombo yaliyoachwa juu ya meza.