Andrew Nyerere on Mwalimu humble children!

Hivi ni kweli kwamba familia ya Nyerere ina aina fulani ya kichaa/ ugonjwa wa akili?

...Nilikutana na Andrew wakati akitaka kutafsiri kazi za wa-buddhist, jamaa ni bonge la low key.Alikuwa anapotelea South Africa,
akilosti anaenda ubalozini wana m-bailout.

Kama wanaenda ubalozini kuomba bail out basi hawa sio "watu wa kawaida."

Na ni kweli familia ya Nyerere kuna wagonjwa wa akili. John, mtoto wake wa nne siku zote alikuwa anafungiwa ndani Msasani, maisha yake yote.

Utaona maelezo ya Andrew kaulizwa ndugu zako wako wapi na wanafanya nini, akazungusha zungusha. Wengine kawaruka hajataja hata wako wapi, kama Makongoro, hajamuelezea chochote. Na John, kasema yuko Msasani, yuko msasani anafanya nini, anaishi na Mama Maria mpaka leo?

Ni kweli kulikuwa kuna ugonjwa wa akili ndani ya familia ya Nyerere.
 
Ogah,Ngwaninyami,Jasusi,Bluray,..

..nadhani tunawabebesha mzigo mzito sana watoto wa Mwalimu Nyerere.

..kwa umri walionao kule kijijini kwetu wanaweza hata kuwa na wajukuu. lakini hapa Jamii Forums bado tunawaita 'watoto wa Mwalimu.' pamoja na umaarufu aliokuwa nao baba yao sidhani kama tunawetendea haki.

..Makongoro Nyerere can not handle a drink very well. inawezekana kabisa vituko vyake akishakamata maji vinawafanya baadhi ya wananchi wafikiri ana maradhi ya akili.

Shedafa,

..umenikumbusha tukio la kuangushwa kwa ndege ya JWTZ by friendly fire.

..ilitolewa amri kwamba ndege yoyote ya kijeshi itakayoonekana eneo la Kagera iangushwe. inasemekana marubani wa JWTZ walishindwa kutua Mwanza ikabidi wazunguke mpaka Kagera ili waweze kutua Mwanza. bahati mbaya wakaangushwa na wenzao.

..sijui kama serikali imetoa nishani kwa marubani wale waliotunguliwa na wenzao. nadhani wale wanastahili kupewa nishani hata kama wameshafariki.

..marubani walioanguka na ndege pale Mgulani siku ya kuwapokea askari waliopigana Kagera walipewa nishani kutokana na kitendo chao cha kishujaa.

..inasemekana kwamba ndege ile ingeweza kuanguka pale uwanja wa taifa lakini juhudi za marubani wake kuielekeza upande wa Mgulani ndiyo ziliepusha maafa.

..serikali nzima, pamoja na wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama, pamoja na wananchi wengi, walikuwepo uwanja wa taifa.

..inasikitisha sana kwamba Tanzania hatuwaenzi mashujaa wetu waliojitoa mhanga kwa ajili ya taifa letu.

NB:

..Tanzania tuko nyuma sana ktk suala la viongozi[current & retired] kutokutumia madaraka yao vibaya.

..viongozi wanakwenda kutibiwa nje wakati Taasisi ya Cancer inayohudumia walalahoi inapewa 28% ya bajeti waliyoomba. wakati huohuo tunatenga fedha za kukarabati Ikulu zinazozidi hata bajeti yetu kwa hospitali muhimu kama Taasisi ya Cancer.

..

Joka,issue kwamba mwalimu alikuwa na matatizo ya akili ya kurithi kutoka kwenye familia ilishazungumziwa hapa kwenye mjadala flani uliokuwa ukimuhusu mwalimu, na sasa Bluray amerudia tena kusema yale yale,sina uhakika na hilo,isipokuwa ni muhimu ikawa ni kweli na si kumpakazia baba wa Taifa bila sababu za msingi.
 
Ngwaninyami,

..Andrew na ndugu zake wangekulia kijijini kwetu wangekuwa na wajukuu tayari. sasa hata ktk umri huo unataka watambulishwe kama "watoto wa ..."?

..sikatai kwamba kila mtu ana wazazi. ninachokataa mimi ni hicho kitendo cha watu wazima kabisa kuendelea kuwa refered as "watoto wa ...."
 
jmushi1 said:
Joka,issue kwamba mwalimu alikuwa na matatizo ya akili ya kurithi kutoka kwenye familia ilishazungumziwa hapa kwenye mjadala flani uliokuwa ukimuhusu mwalimu, na sasa Bluray amerudia tena kusema yale yale,sina uhakika na hilo,isipokuwa ni muhimu ikawa ni kweli na si kumpakazia baba wa Taifa bila sababu za msingi.

jmushi1,

..maelezo yako ni kana kwamba mimi nimesema Mwalimu na familia yake wana matatizo hayo. sijafanya hivyo. naomba tafadhali rekebisha posting yako.

.
 
Ngwaninyami,

..Andrew na ndugu zake wangekulia kijijini kwetu wangekuwa na wajukuu tayari. sasa hata ktk umri huo unataka watambulishwe kama "watoto wa ..."?

..sikatai kwamba kila mtu ana wazazi. ninachokataa mimi ni hicho kitendo cha watu wazima kabisa kuendelea kuwa refered as "watoto wa ...."
pular people most of the time wanakuwa reffered to what actually made them popular,kwasababu kama siyo Nyerere wasingekuwa wanatajwa hapa,na kama wangekuwa wanatajwa,basi ingekuwa kwa sababu nyonginezo na pengine watu wangewaita kwa majina yao...Sasa kama umaarufu wao ungekuwa bila ya baba yao,then ungeona wanatajwa kwa majina yao bila reference. Huko kijijini kwao mwalimu alikuwa reffered to as mtoto wa chifu Burito,baada ya kujulikana TZ nzima,hakuna anayesema Julius mtoto wa flani nk....Bali ni Julius Kambarage Nyerere mwenyewe.
 
jmushi1,

..naomba sana rekebisha posting yako. sijamtuhumu Mwalimu au familia yake kuwa na maradhi ya aina yoyote ile. tafadhali sana.
 
jmushi1,

..naomba sana rekebisha posting yako. sijamtuhumu Mwalimu au familia yake kuwa na maradhi ya aina yoyote ile. tafadhali sana.

Joka Kuu samahani, ulimention kuhusu "Matatizo ya akili" Na hakuna pahala nimesema kuwa umesema mwalimu alikuwa na matatizo ya akili,ila nilijibu posting yako uliposema kuwa matatizo ya pombe ya Makongoro yasihusishwe na matatizo ya akili yanayodaiwa kuwepo kwenye familia ya mwalimu,sasa ni wapi nimesema kuwa umemtuhumu mwalimu kwa maradhi yoyote yale?

Nilichosema mimi ni kwamba kuna mtu alishaleta madai kama hayo huko nyuma kwenye mojawapo ya mijadala hapa JF,sasa how is that equals to saying umetoa tuhuma? Niliweka wazi kabisa kwenye posting niliyokujibu kuwa Blueray kasema hivyo,sasa are u blue Ray? Mbona wewe huwa unataja majina ya watu kadhaa kwenye posting yako moja? Vipi mkuu?
 
Viongozi wetu wa leo kazi yao kuharibu mazuri yote aliyotuachia mwalimu hata jinsi ya kuwalea watoto wao ni tofauti kabisa na Mwalimu; mtoto wa muungwana anaendesha BMW ya bei mbaya kapata wapi kama sio kufadhiliwa na mafisadi!!
 
jmushi1 said:
Joka,issue kwamba mwalimu alikuwa na matatizo ya akili ya kurithi kutoka kwenye familia ilishazungumziwa hapa kwenye mjadala flani uliokuwa ukimuhusu mwalimu, na sasa Bluray amerudia tena kusema yale yale,sina uhakika na hilo,isipokuwa ni muhimu ikawa ni kweli na si kumpakazia baba wa Taifa bila sababu za msingi.

jmushi1,

..haya maelezo yako ungeyaelekeza kwa mchangiaji aliyetoa tuhuma kwamba hawa ndugu zetu wana maradhi ya akili.

..mtu ambaye hatasoma mchango wangu mzima ktk mada hii anaweza kabisa ku-assume kwamba mimi ndiye niliyetoa madai ya maradhi ya akili.

..narudia tena sijatoa tuhuma hizo, hivyo sidhani kama kulikuwa na ulazima wa kunitanabahisha kwa maneno yako haya hapa: "...ni muhimu ikawa ni kweli na si kumpakazia baba wa Taifa bila sababu za msingi."
 
Viongozi wetu wa leo kazi yao kuharibu mazuri yote aliyotuachia mwalimu hata jinsi ya kuwalea watoto wao ni tofauti kabisa na Mwalimu; mtoto wa muungwana anaendesha BMW ya bei mbaya kapata wapi kama sio kufadhiliwa na mafisadi!!

Granted, inawezekana kabisa kafadhiliwa na mafisadi.

Lakini tuna utamaduni wa "innocent until proven guilty" tuonyeshe kafadhiliwa na mafisadi kivipi. Tusiingie katika mtego wa fikra za "summary judgement" za kikomunisti, kwamba kwa sababu nchi masikini kila mtu awe masikini, na aliye nacho ni mwizi.

Kama unataka kusema mtoto wa muungwana fisadi au kafadhiliwa na mafisadi sawa, lakini tuonyeshe kwa nini unafikiri hivyo, sio kwa sababu anaendesha BMW ya bei mbaya tu, kama amepewa gari la kazini?

Sipendi sana kuona huu utamaduni wa watu kushukiwa ufisadi kwa sababu tu wana mali, leo hii mtu hata ukishinda lotto ya kimataifa na kurudi Tanzania na vitu vizuri utaambiwa fisadi, kwa nini? Eti kwa sababu hatujui umepataje mali. On the other hand watu wana rights zao kwa privacy, nikiwambia nimepata fedha kwa kanuni hii halafu ukinishinda katika mchezo wangu mwenyewe je? kwa hiyo hata swali la "umepataje mali" unless linaulizwa na TRA kwa sababu za kodi, au tume ya maadili ya viongozi kwa ajili ya kuhakiki maadili ya uongozi, au mahakama kwa ajili ya uchunguzi wa kimahakama, linakuwa limekaa ki McCarthy zaidi ya kimapinduzi ya uchumi yanayohitajika Tanzania.

Onyesha mtu kafanya ufisadi vipi, usimfanyie witch hunt tu kwa sababu ana mali.
 
Umejuaje hayo?

Huo ukweli umeujuaje ndugu Dilunga?

Kwa sababu mbili:

Kwanza nimepata fursa ya kufika Msasani mara mbili tatu miaka ya 80, na John alikuwa ndani, anafungiwa ndani, na kuna vijukuu kibao pale vikawa vinasema huyu ndugu ni mgonjwa wa akili, kafungiwa.

Pili, kuna chanzo changu ambacho hakina sababu ya kunidanganya, kiliwahi ku ride kwenye Land Rover na mdogo wake Nyerere, halafu ghafla bin vuu gari inakimbia yule mdogo wake Nyerere akavua viatu vyake akavirusha nje ya dirisha huku anagomba na kupayuka.

Hilo tukio unaweza kusema ni hadithi yangu, au ni kitendo kimoja ambacho hakidhihirishi ukichaa, lakini nani atanibishia kwamba mtoto wa Nyerere alikuwa mgonjwa wa kufungiwa ndani Msasani hata akiwa mkubwa?

Umemwona Madaraka kwenye picha alivyo mtu mzima, sasa huyu John ni kaka yake Madaraka. Anafanya nini Msasani kwa Mama Maria mpaka leo? Amefungiwa ndani maisha yake yote kwa sababu anaumwa.

Na haya mambo hatutayajua, ukiuliza ya familia ya Kikwete, nayo siri ya Sirikali. Juzi kafanya maadhimisho ya miaka 20 ya ndoa na Mama Salma. Wananchi wakasema, hebu subiri kwanza, Kikwete ana njemba zake mbili tatu (Ridhiwani, Miraji, na yule dada daktari) ambao hawaonekani kama ni teenagers. Kawazaa lini, na nani, na kina Mama wangapi, na ana wengine hajawaibua bado? Ilikuwa kuwaje hapo ustaadhi?

Turudi kwa Nyerere. Nakupa nyeti nyingine ambayo huwezi kuisikia kwa mwandishi au mwana historia yeyote wa Kibongo. Nyerere alikuwa ana mtoto mmoja ambae sio wa kuzaa mwenyewe.
 
Kwa sababu mbili:

Kwanza nimepata fursa ya kufika Msasani mara mbili tatu miaka ya 80, na John alikuwa ndani, anafungiwa ndani, na kuna vijukuu kibao pale vikawa vinasema huyu ndugu ni mgonjwa wa akili, kafungiwa.

Pili, kuna chanzo changu ambacho hakina sababu ya kunidanganya, kiliwahi ku ride kwenye Land Rover na mdogo wake Nyerere, halafu ghafla bin vuu gari inakimbia yule mdogo wake Nyerere akavua viatu vyake akavirusha nje ya dirisha huku anagomba na kupayuka.

Hilo tukio unaweza kusema ni hadithi yangu, au ni kitendo kimoja ambacho hakidhihirishi ukichaa, lakini nani atanibishia kwamba mtoto wa Nyerere alikuwa mgonjwa wa kufungiwa ndani Msasani hata akiwa mkubwa?

Umemwona Madaraka kwenye picha alivyo mtu mzima, sasa huyu John ni kaka yake Madaraka. Anafanya nini Msasani kwa Mama Maria mpaka leo? Amefungiwa ndani maisha yake yote kwa sababu anaumwa.

Na haya mambo hatutayajua, ukiuliza Kikwete ana watoto wangapi, nayo siri ya Serikali. Juzi kafanya maadhimisho ya miaka 20 ya ndoa na Mama Salma. Wananchi wakasema, hebu subiri kwanza, Kikwete ana njemba zake mbili tatu (Ridhiwani, Miraji, na yule dada daktari, ambao hawaonekani kama ni teenagers). Kawazaa lini, na nani, na kina Mama wangapi, na ana wengine hajawaibua bado? Ilikuwa kuwaje hapo ustaadhi?

Turudi kwa Nyerere. Nakupa nyeti nyingine ambayo huwezi kuisikia kwa mwandishi au mwana historia yeyote wa Kibongo. Nyerere alikuwa ana mtoto mmoja ambae sio wa kuzaa mwenyewe.

Duuuh! Kulaleki walahi....
 
Kwa sababu mbili:

Kwanza nimepata fursa ya kufika Msasani mara mbili tatu miaka ya 80, na John alikuwa ndani, anafungiwa ndani, na kuna vijukuu kibao pale vikawa vinasema huyu ndugu ni mgonjwa wa akili, kafungiwa.

Pili, kuna chanzo changu ambacho hakina sababu ya kunidanganya, kiliwahi ku ride kwenye Land Rover na mdogo wake Nyerere, halafu ghafla bin vuu gari inakimbia yule mdogo wake Nyerere akavua viatu vyake akavirusha nje ya dirisha huku anagomba na kupayuka.

Hilo tukio unaweza kusema ni hadithi yangu, au ni kitendo kimoja ambacho hakidhihirishi ukichaa, lakini nani atanibishia kwamba mtoto wa Nyerere alikuwa mgonjwa wa kufungiwa ndani Msasani hata akiwa mkubwa?

Umemwona Madaraka kwenye picha alivyo mtu mzima, sasa huyu John ni kaka yake Madaraka. Anafanya nini Msasani kwa Mama Maria mpaka leo? Amefungiwa ndani maisha yake yote kwa sababu anaumwa.

Na haya mambo hatutayajua, ukiuliza Kikwete ana watoto wangapi, nayo siri ya Serikali. Juzi kafanya maadhimisho ya miaka 20 ya ndoa na Mama Salma. Wananchi wakasema, hebu subiri kwanza, Kikwete ana njemba zake mbili tatu (Ridhiwani, Miraji, na yule dada daktari, ambao hawaonekani kama ni teenagers). Kawazaa lini, na nani, na kina Mama wangapi, na ana wengine hajawaibua bado? Ilikuwa kuwaje hapo ustaadhi?

Turudi kwa Nyerere. Nakupa nyeti nyingine ambayo huwezi kuisikia kwa mwandishi au mwana historia yeyote wa Kibongo. Nyerere alikuwa ana mtoto mmoja ambae sio wa kuzaa mwenyewe.

Halafu kuna washashi wanasema hata Nyerere mwenyewe si mtoto wa Chief Burito, kwamba Mzee Burito aliletewa tu na mama baada ya mama kukaa mbali kitambo.

Hata mwenyewe alishasema, perhaps in a pre-emptive strike, kwamba kikwao mtoto ni wa mama na anarithi mali ya mjomba na kamwe si ya baba, kwa sababu watu wanaweza kuhakiki kwamba mama kazaa mtoto lakini hawawezi kujua baba.

Inaonekana katika mila za kizanaki si kitu cha ajabu.
 
:eek:
jmushi1,

..haya maelezo yako ungeyaelekeza kwa mchangiaji aliyetoa tuhuma kwamba hawa ndugu zetu wana maradhi ya akili.

..mtu ambaye hatasoma mchango wangu mzima ktk mada hii anaweza kabisa ku-assume kwamba mimi ndiye niliyetoa madai ya maradhi ya akili.

..narudia tena sijatoa tuhuma hizo, hivyo sidhani kama kulikuwa na ulazima wa kunitanabahisha kwa maneno yako haya hapa: "...ni muhimu ikawa ni kweli na si kumpakazia baba wa Taifa bila sababu za msingi."

Kama kuna mtu atakayekulaumu ama kufikiri wewe ndiyo umesema hayo basi yeye ndiyo mwenye matatizo kwasababu kila kitu kiko wazi,hakuna mahali nimesema kuwa umeya type maneno hayo,na ndio maana nikakutolea mfano pale ambapo wewe huwa unajibu postings kadhaa kwa post moja na mara zote huwa una mention majina,sikufanya hivyo so sorry. la mtu atakayekuwa hawezi kusoma vizuri sijui anafanya nini hapa JF....Everything is clear mkuu,ni kina Dillunga na Bluray ndiyo wanaleta habari hizo na yoyote mwenye kusoma thread hii na kufuatilia kwa makini ataona hilo...Ila samahani kama umekwazika,madhali umeshaujua ukweli basi tuendelee kukata ze issuz.
 
:p
Halafu kuna washashi wanasema hata Nyerere mwenyewe si mtoto wa Chief Burito, kwamba Mzee Burito aliletewa tu na mama baada ya mama kukaa mbali kitambo.

Hata mwenyewe alishasema, perhaps in a pre-emptive strike, kwamba kikwao mtoto ni wa mama na anarithi mali ya mjomba na kamwe si ya baba, kwa sababu watu wanaweza kuhakiki kwamba mama kazaa mtoto lakini hawawezi kujua baba.

Inaonekana katika mila za kizanaki si kitu cha ajabu.

Mkuu washashi ndio kina nani hao? Samahani kama nimetoka nje ya mada,ama kama ni stupid question.
 
Halafu kuna washashi wanasema hata Nyerere mwenyewe si mtoto wa Chief Burito, kwamba Mzee Burito aliletewa tu na mama baada ya mama kukaa mbali kitambo.

Hata mwenyewe alishasema, perhaps in a pre-emptive strike, kwamba kikwao mtoto ni wa mama na anarithi mali ya mjomba na kamwe si ya baba, kwa sababu watu wanaweza kuhakiki kwamba mama kazaa mtoto lakini hawawezi kujua baba.

Inaonekana katika mila za kizanaki si kitu cha ajabu.

Ha ha aahaaaaaaaaaaaaa

Umeanika siri ya baba wa Taifa Jamii Forums, siri ya nchi. Nilikuwa sitaki kuwa mtu wa kwanza kulisema hilo. Hahaahaaaaaaa

Na kwa sababu ni watu wachache sana wanakijua hicho kitu, inawezekana wewe mtu mimi nakujua.... hahah haa aaaaaa ...you coulda fooled me... haahahaaaaaaa

Again, hakuna mwana historia hata mmoja aliyewahi ku docement vitu kama hivyo. Haya ni mambo ambayo inabidi ukayatafute Butiama. Historia yetu Tanzania bahati mbaya inaandikwa na Wazungu, Wazungu hawawezi kusikiliza hadithi za Kityama wakaelewa. Hawafiki hata Butiama kutafuta ukweli.

Blue Ray, unataka tuliendee kiundani hili swala au tukaandike li tome letu la Nyerere tutajirike? Maana mimi namfahamu anaejulikana kwao kama ni baba yake Nyerere. Nasubiri tu nikiwa mkubwa nije na uchunguzi wa DNA kabla sijabwatuka hayo. Sasa unaonaje, Blue Ray, tusubiri tukue au tumwage mtama hapa?

_39194324_nyerere-ap-203body.jpg
 
Last edited:
Ha ha aahaaaaaaaaaaaaa

Umeanika siri ya baba wa Taifa Jamii Forums, siri ya nchi. Nilikuwa sitaki kuwa mtu wa kwanza kulisema hilo. Hahaahaaaaaaa

Na kwa sababu ni watu wachache sana wanakijua hicho kitu, inawezekana wewe mtu mimi nakujua.... hahah haa aaaaaa ...you coulda fooled me... haahahaaaaaaa

Again, hakuna mwana historia hata mmoja aliyewahi ku docement vitu kama hivyo. Haya ni mambo ambayo inabidi ukayatafute Butiama. Historia yetu Tanzania bahati mbaya inaandikwa na Wazungu, Wazungu hawawezi kusikiliza hadithi za Kityama wakaelewa. Hawafiki hata Butiama kutafuta ukweli.

Blue Ray, unataka tuliendee kiundani hili swala au tukaandike li tome letu la Nyerere tutajirike? Maana mimi namfahamu anaejulikana kwao kama ni baba yake Nyerere. Nasubiri tu nikiwa mkubwa nije na uchunguzi wa DNA kabla sijabwatuka hayo. Sasa unaonaje, Blue Ray, tusubiri tukue au tumwage mtama hapa?

Tuongee na Random House au Simon & Schuster mwanangu, hapa kuna mulla mulla naziona dollar bills

JMushi,

Hao washashi ndio wale "New York Times" na "Washington Post" wanaowaita "people close to the matter who requested anonimity due to the sensitivity of the issue"

Watu weeeeee!
 
Ha ha aahaaaaaaaaaaaaa

Umeanika siri ya baba wa Taifa Jamii Forums, siri ya nchi. Nilikuwa sitaki kuwa mtu wa kwanza kulisema hilo. Hahaahaaaaaaa

Na kwa sababu ni watu wachache sana wanakijua hicho kitu, inawezekana wewe mtu mimi nakujua.... hahah haa aaaaaa ...you coulda fooled me... haahahaaaaaaa

Again, hakuna mwana historia hata mmoja aliyewahi ku docement vitu kama hivyo. Haya ni mambo ambayo inabidi ukayatafute Butiama. Historia yetu Tanzania bahati mbaya inaandikwa na Wazungu, Wazungu hawawezi kusikiliza hadithi za Kityama wakaelewa. Hawafiki hata Butiama kutafuta ukweli.

Blue Ray, unataka tuliendee kiundani hili swala au tukaandike li tome letu la Nyerere tutajirike? Maana mimi namfahamu anaejulikana kwao kama ni baba yake Nyerere. Nasubiri tu nikiwa mkubwa nije na uchunguzi wa DNA kabla sijabwatuka hayo. Sasa unaonaje, Blue Ray, tusubiri tukue au tumwage mtama hapa?

Mkuu haya siyo yale yale ya "Mwalimu ni Mtutsi?" Ama hizi ni habari mpya?
 
..mwalimu alikuwa anajenga ujamaa kwa vitendo.,,hata alipotangaza vita vya kagera hakupeleka watoto wa walalahoi pekee ...kwani watoto wake watatu ..wawili wakiwa marubani wa ndege za kivita ,..na mwingine mtaalamu wa mizinga ...walienda pia.. ....familia yake iliishi maisha ya mtanzania wa kawaida kabisa...,na wengi walijuwa labda watoto wa mwalimu wanaishi maisha ya kijamaa kwa kuwa walikuwa wakimuogopa baba yao....lakini you cant imagine that they are just comfotable na maisha yao ya kawaida....wangekuwa wanaiga tungeshuhudia wakiingia kwenye deal za kifisadi baada ya baba yao kuondoka ...[kwani hakuna fisadi angekataa fursa ya kumshiriikisha mtoto kama wa mwalimu kwenye deal....ili apate upendeleo]...

Jambo ambalo labda unatakiwa ujielize ..ni kwanini hawa watoto wake hawapendi kuwa public figures unlike watu wengi wanavoweza kufikiri....angalia mtu kama andrew alivojibu maswali.....anaonesha kuwa na ufahamu mkubwa wa mambo,lugha iliyonyooka...kama msomi anavotakiwa kuwa....lakini wanaamuwa kuwa low profile kiasi hicho.

Si hilo tu miongoni mwa marubani waliofariki mpya wake alikufa pale wanajeshi watu walipotungua ndege yake wakidhani ni ya nduli Amin pale Musoma.
Leo hii ndo tunaona umuhimu wa mwalimu,hatukumwelewa alipo wakoromea Kikwete na Lowasa waliporudisha fomu za kugombea urais.Mkapa amemwangusha kwa mambo aliyoyatenda hasa baada ya mwalimu kufa.
Nini hatima ya Tanzania?
 
Back
Top Bottom