Andre Villas-Boas : Kocha Mpya wa Tottenham Spurs

Hata wangemchukua Mancini hawataizuia L'poolFC kuchukua ubigwa msimu ujao.

Lol umeshaanza kuogopa baada ya tottenham kumchukua AVB. Halafu liverpool mtachukua kombe gani unalolizungumzia? . Nyie nafasi yenu inajulikana
 
Lol umeshaanza kuogopa baada ya tottenham kumchukua AVB. Halafu liverpool mtachukua kombe gani unalolizungumzia? . Nyie nafasi yenu inajulikana


Tutachukua msimu huu ujao kombe la leage & hata FA CUP bila ya kukosea!

Wewe umejikitita anga ipi mshikaji wangu?
Angalia usije ukawa Arsenal.(Presha tupu)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom