Anderson Cooper: 'The fact is, I'm gay'

Mhhh...ndio maana wazungu wanaleta misaada na some string attached to it.

String moja imeshatubana kutokana kimya cha consent cha maaskofu kuhusiana na sensa. Sensa wanayoidhamini wameimeipenyezea kwenye mradi walioupa jina la "Millenium Development Goals" na wametuminyia kwamba ni lazima tuondoshe kipengele cha dini, yaaani "who give a damn about religions". Sensa ni social profilling, na waTanzania katika profile yetu "hatuna dini" yaani sooooooote ni mapagani. Na maaskofu wetu hawasemi hata fyoko, labda waislamu tu.

Tuna mihimili gani tena ya kimaadili ya kutulindia jamii zetu. Muhimili mmoja ndio unaondoka huo mwezi kesho. Muhimili wa pili ni sheria zetu zinazopitishwa bungeni na wanasiasa wetu hawa, sherehe za uhuru 27 bilioni (I mean bi, bi, bilioni), kujiongezea malipo na marupurupu wenyewe bila ya kiasi, lakini kuwalipa madaktari, pesa hakuna. Watasimama hawa kweli???

Muhimili wa tatu ni mila na desturi zetu. Kwakuwa dini ndio imeshaondoka, ina maana mila na desturi zetu za kibantu na kikabila, yaani tumeshajigawa wenyeweeeee tayaaaaaasaari ili tutawaliwe kama mababu zetu.

Waislamu wakinyanyua tu midomo basi ni sisi wenyewe hasa ndugu zetu wa imani ya kikristo, ndio wao hushirikiana na hawa mahabithi wanatuenezea mambo haya ya sodoma na gomora kuwaita waislamu magaidi, lo!!! salaaaaaaale tumekwisha sie.

Sisemi kwa kutabiri wala kwa kupenda lakini hili balaa/bomu sijui kama halichemkiii chini ya miguu yetu hivi sasa, kinyume na hivyo basi yasingetokea haya matayarisho yanayofanywa na wanasiasa wetu (kwa kuruhusu kuondosha kipengele cha dini ambacho ni mlinzi wetu wa kimaadili) wakishirikiana na maaskofu wetu(kwa kuipa thumbs up kwa kimya cha kukubali).

Ni muhimili gani wa kimaadili utakaotuokoa hapa, let us check kwa hawa wanaitangaziwa kuwa ni wakorofi, ni wakorofi kweli kama wanavyotangaziwa au ni fitina tu.
 
Amemtaja mume wake ni nani? Ndio kwa sababu hizi ndio hatutaki Wamarekani watufundishe sheria. Kwa mfano wanavyouliza,''Kwa nini meli za Iran zinatumia bendera ya Tanzania?''
 
Huyu jamaa kaharibu sana sidhani kama ana maisha marefu CNN, ngoja tusubiri kama atamaliza 2012 akiwa bado ni muajiriwa wa CNN.
 
CNN is one of my favourite TV but i have nothing to do....cause people say 'dont hate the player,hate the game''
 
String moja imeshatubana kutokana kimya cha consent cha maaskofu kuhusiana na sensa. Sensa wanayoidhamini wameimeipenyezea kwenye mradi walioupa jina la "Millenium Development Goals" na wametuminyia kwamba ni lazima tuondoshe kipengele cha dini, yaaani "who give a damn about religions". Sensa ni social profilling, na waTanzania katika profile yetu "hatuna dini" yaani sooooooote ni mapagani. Na maaskofu wetu hawasemi hata fyoko, labda waislamu tu.
Tuna mihimili gani tena ya kimaadili ya kutulindia jamii zetu. Muhimili mmoja ndio unaondoka huo mwezi kesho. Muhimili wa pili ni sheria zetu zinazopitishwa bungeni na wanasiasa wetu hawa, sherehe za uhuru 27 bilioni (I mean bi, bi, bilioni), kujiongezea malipo na marupurupu wenyewe bila ya kiasi, lakini kuwalipa madaktari, pesa hakuna. Watasimama hawa kweli???

Muhimili wa tatu ni mila na desturi zetu. Kwakuwa dini ndio imeshaondoka, ina maana mila na desturi zetu za kibantu na kikabila, yaani tumeshajigawa wenyeweeeee tayaaaaaasaari ili tutawaliwe kama mababu zetu.

Waislamu wakinyanyua tu midomo basi ni sisi wenyewe hasa ndugu zetu wa imani ya kikristo, ndio wao hushirikiana na hawa mahabithi wanatuenezea mambo haya ya sodoma na gomora kuwaita waislamu magaidi, lo!!! salaaaaaaale tumekwisha sie.

Sisemi kwa kutabiri wala kwa kupenda lakini hili balaa/bomu sijui kama halichemkiii chini ya miguu yetu hivi sasa, kinyume na hivyo basi yasingetokea haya matayarisho yanayofanywa na wanasiasa wetu (kwa kuruhusu kuondosha kipengele cha dini ambacho ni mlinzi wetu wa kimaadili) wakishirikiana na maaskofu wetu(kwa kuipa thumbs up kwa kimya cha kukubali).

Ni muhimili gani wa kimaadili utakaotuokoa hapa, let us check kwa hawa wanaitangaziwa kuwa ni wakorofi, ni wakorofi kweli kama wanavyotangaziwa au ni fitina tu.
Hapo Kwenye RED umenifungua macho. Kumbe kukataa dini kuna strings attached. Basi tumekwisha.
 
Hapo kwenye red more info plz. Nguvu za giza? How?

Mkuu, Mtu yeyote asiyefahamu au anayekwenda kinyume na maelekezo ya Mwenyezi Mungu namna Binaadamu tunatakiwa kuenenda hapa Duniani kama ilivyoandikwa kwenye Biblia huyo yuko Gizani, na kinachomuongoza ni nguvu za Giza.
 
Huyu jamaa kaharibu sana sidhani kama ana maisha marefu CNN, ngoja tusubiri kama atamaliza 2012 akiwa bado ni muajiriwa wa CNN.

Don Lemon mbona bado yupo na imekuwa zaidi ya mwaka tokea ajianike...isitoshe hii ya Anderson ilikuwa open secret.
 
Wondering if being gay compromises his proffesionalism as an accomplished journalist?
 
article-2167756-13E5356C000005DC-981_634x673.jpg

Cooper has frequently been photographed with Benjamin Maisani, seen here shopping in the West Village with the news man in May 2010
 
article-2167756-13E54D0A000005DC-277_634x700.jpg

'I love, and I am loved' he told Sullivan in the Monday letter. Here he and Benjamin ride bikes through New York city in July of 2010
 
article-2167756-13E56670000005DC-74_634x672.jpg

The bar owner, seen here leaving David Barton Gym in 2010, reportedly lives with Cooper in his converted fire house
 
String moja imeshatubana kutokana kimya cha consent cha maaskofu kuhusiana na sensa. Sensa wanayoidhamini wameimeipenyezea kwenye mradi walioupa jina la "Millenium Development Goals" na wametuminyia kwamba ni lazima tuondoshe kipengele cha dini, yaaani "who give a damn about religions". Sensa ni social profilling, na waTanzania katika profile yetu "hatuna dini" yaani sooooooote ni mapagani. Na maaskofu wetu hawasemi hata fyoko, labda waislamu tu.

Tuna mihimili gani tena ya kimaadili ya kutulindia jamii zetu. Muhimili mmoja ndio unaondoka huo mwezi kesho. Muhimili wa pili ni sheria zetu zinazopitishwa bungeni na wanasiasa wetu hawa, sherehe za uhuru 27 bilioni (I mean bi, bi, bilioni), kujiongezea malipo na marupurupu wenyewe bila ya kiasi, lakini kuwalipa madaktari, pesa hakuna. Watasimama hawa kweli???

Muhimili wa tatu ni mila na desturi zetu. Kwakuwa dini ndio imeshaondoka, ina maana mila na desturi zetu za kibantu na kikabila, yaani tumeshajigawa wenyeweeeee tayaaaaaasaari ili tutawaliwe kama mababu zetu.

Waislamu wakinyanyua tu midomo basi ni sisi wenyewe hasa ndugu zetu wa imani ya kikristo, ndio wao hushirikiana na hawa mahabithi wanatuenezea mambo haya ya sodoma na gomora kuwaita waislamu magaidi, lo!!! salaaaaaaale tumekwisha sie.

Sisemi kwa kutabiri wala kwa kupenda lakini hili balaa/bomu sijui kama halichemkiii chini ya miguu yetu hivi sasa, kinyume na hivyo basi yasingetokea haya matayarisho yanayofanywa na wanasiasa wetu (kwa kuruhusu kuondosha kipengele cha dini ambacho ni mlinzi wetu wa kimaadili) wakishirikiana na maaskofu wetu(kwa kuipa thumbs up kwa kimya cha kukubali).

Ni muhimili gani wa kimaadili utakaotuokoa hapa, let us check kwa hawa wanaitangaziwa kuwa ni wakorofi, ni wakorofi kweli kama wanavyotangaziwa au ni fitina tu.

Hii mada ni sensa inayotaka suala la dini liwepo au ni ya ushoga? Idadi ya dini kwangu si tija kabisa maana dini yako hainihusu kabisa mimi wala dini yangu si suala linalokuhusu wewe. Sasa hivi tuko kwenye michango ya kujenga nyumba ya ibada, hata kama najua dini yangu ni half the number of ppopulation, how does that help?
 
Amemtaja mume wake ni nani? Ndio kwa sababu hizi ndio hatutaki Wamarekani watufundishe sheria. Kwa mfano wanavyouliza,''Kwa nini meli za Iran zinatumia bendera ya Tanzania?''

labuda ndio anatafuta mtu wa kumuoa , wenye hamu ya kwenda ulaya , wachangamke makalatasi hayo
 
Back
Top Bottom