Mfamaji
JF-Expert Member
- Nov 6, 2007
- 6,631
- 1,926
Katika mahojiano yaliyofanyika leo na Magic Fm, Kamanda wa polisi arusha amekiri kuwa maanadamo yaliruhusiwa na walikaa kikao na viongozi wa CDM kupanga njia yatakayopitia.
Anasema kasoro ni viongozi wa CDM hawakurudi kukonfirm njia walizopendekeza polisi akiamini kuwa hizo njia zingefanya mji usimame. Eti walipata taarifa za Kiinteligensia kuwa vurugu ingetokea kwa hiyo wakasitisha maandamano kwa njia ya vyombo vya habari.
Anakiri taarifa ya maandamano ilitolewa mapema na ilikubaliwa na jeshi lake .
MY TAKE.
Wakuu hebu angalieni hii kauli na kitendo walichofanya Polisi cha kuuwa watu na kuwapeleka viongozi wa CDM mahakamni kwa kosa la kuandamana kinyume cha sheria . Haiingii kichwani kabisa , na hata mwenyewe alikuwa anajikanyaga kuelezea hali ilivyokuwa hadi akatoa amri ya kutumia nguvu na risasi kuuwa watu.
Kweli inasikitisha Kamanda mzima hajui wajibu wa jeshi la Polisi. Kama walipata taarifa za kiinteligensia mbona hawakuongeza polisi ili kuhakikisha hazitokei badala yake wakawakamata viongozi na kupiga mabomu mji mzima hovyo hovyo?
HE must face ICC.
Anasema kasoro ni viongozi wa CDM hawakurudi kukonfirm njia walizopendekeza polisi akiamini kuwa hizo njia zingefanya mji usimame. Eti walipata taarifa za Kiinteligensia kuwa vurugu ingetokea kwa hiyo wakasitisha maandamano kwa njia ya vyombo vya habari.
Anakiri taarifa ya maandamano ilitolewa mapema na ilikubaliwa na jeshi lake .
MY TAKE.
Wakuu hebu angalieni hii kauli na kitendo walichofanya Polisi cha kuuwa watu na kuwapeleka viongozi wa CDM mahakamni kwa kosa la kuandamana kinyume cha sheria . Haiingii kichwani kabisa , na hata mwenyewe alikuwa anajikanyaga kuelezea hali ilivyokuwa hadi akatoa amri ya kutumia nguvu na risasi kuuwa watu.
Kweli inasikitisha Kamanda mzima hajui wajibu wa jeshi la Polisi. Kama walipata taarifa za kiinteligensia mbona hawakuongeza polisi ili kuhakikisha hazitokei badala yake wakawakamata viongozi na kupiga mabomu mji mzima hovyo hovyo?
HE must face ICC.