And the winner is............................ ........

Heaven on earth....siamini nionacho hapa

ndo maana nataka tunataka kufunga ndoa kabisa ili ukate tamaa sababu ninavyo kuambia ni mke wangu hunielewi. itabidi umsubirie hadi nikifa sababu mimi na Heaven on earth hadi kifo kitutenganishe. nakushauli ukamae na toto yako mwanampwampwa..hahahahaaaa....!!!. mia
 
Last edited by a moderator:
Babe ila umekaa mda mrefu huko ibadani..........

ni ibada kweli au kuna mengine yalikua yanaendelea

leo baada ya ibada kulikuwepo na operasheni takasika na kuvunja ngome za shetani ikiwemo kuombea wagonjwa ndo maana nikachelewa. love you babe...only you honey....mmwaaaa.....!!!. mia
 
Mhhh! hapa kuna miss world wa Filipo hapo hapo kuna ndoa ya figganigga na Heaven on earth humo humo Vin Diesel kafumania duh!

mambo mkuu. Heaven on earth nlishakutambulisha kwamba ni wifi yako. tunataka kufunga ndoa tusije pata mtoto wa nje ya ndoa coz hatuvai socks so nikaona bora tufunge ndoa sababu kila mmoja anamfikisha mwenzie vizuri tu kunako 6 kwa 6. huyo Vin Diesel ni mchawi anataka eti kumchezea tu heaven on earth na anatumia nguvu yake kuhakikisha anavunja uhusiano wetu. but mimi na heaven tunampuuza tu. nimemwambia bora amrudie mwanampwapwa wake lol...hahahahaaa...!!!. mia
 
Last edited by a moderator:
mambo mkuu. Heaven on earth nlishakutambulisha kwamba ni wifi yako. tunataka kufunga ndoa tusije pata mtoto wa nje ya ndoa coz hatuvai socks so nikaona bora tufunge ndoa sababu kila mmoja anamfikisha mwenzie vizuri tu kunako 6 kwa 6. huyo Vin Diesel ni mchawi anataka eti kumchezea tu heaven on earth na anatumia nguvu yake kuhakikisha anavunja uhusiano wetu. but mimi na heaven tunampuuza tu. nimemwambia bora amrudie mwanampwapwa wake lol...hahahahaaa...!!!. mia

Babe mbona watoa siri zetu za ndani kwa Cantalisia jamani.......
 
Last edited by a moderator:
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom