Aaaah..! si nilimkuta amelewa anakata mauno mbele ya watoto nikamkataza nikamwambia Kaizer ata mind ndo akasema eti nimemdhalilisha...
afu mkeo Heaven on earth anakutafutahivi mwenyekiti, ni lini utatufungisha ndoa mimi na Heaven on earth? au unataka hadi tuzae mtoto wa nje ya ndoa?. sio vizuri kutubania kiasi hiki. hadi watoto wadogo wa nyuma yetu wanaoana wanatuacha tukihangaika. kama hutaki useme tufunge ndoa ya bomani. mia
Miss philipineeeeeee
Mwiguluuuuuuu.........!!!
ekeni pichaz plz......
Unataka kupalilia ndo yako kupitia vidole vyetu. haya jilie kwa ulaini.
nani ameshinda...? ameshinda nini ?
Nimeshindaaaaaaaaaaaaaaa
hivi mwenyekiti, ni lini utatufungisha ndoa mimi na Heaven on earth? au unataka hadi tuzae mtoto wa nje ya ndoa?. sio vizuri kutubania kiasi hiki. hadi watoto wadogo wa nyuma yetu wanaoana wanatuacha tukihangaika. kama hutaki useme tufunge ndoa ya bomani. mia
Queen Kan asante kwa kunifikishia ujumbe......afu mkeo Heaven on earth anakutafuta
sijaenda mpenzi,,,, nmemuagiza shem wako mpya Myakubanga akaniombee
sijaenda mpenzi,,,, nmemuagiza shem wako mpya Myakubanga akaniombee
kiwatengu habari yako!!!!!!kwa hili lakuombewa!
umefikiria chini ya kiwango...
kwa hili lakuombewa!
Umefikiria chini ya kiwango...
kheee kumbe siku hizi nna shem mpya!!!!
hivi mwenyekiti, ni lini utatufungisha ndoa mimi na Heaven on earth? au unataka hadi tuzae mtoto wa nje ya ndoa?. sio vizuri kutubania kiasi hiki. hadi watoto wadogo wa nyuma yetu wanaoana wanatuacha tukihangaika. kama hutaki useme tufunge ndoa ya bomani. mia
babe figganigga Morning..........file letu si ulishampelekea au bado.....mwishowe litapata vumbi tu
Heaven on earth....siamini nionacho hapa
wapo wengi ila huyu mpya....lol! Asipite mtu fudenge hapa, ntadie kwa presha!!
Heaven on earth....siamini nionacho hapa