Anayetuhumiwa kumteka DR. Ulimboka azungumza

Hii inaingia akilini kidogo..........Msangi hana jeuri ya kumteka mtu hadharani kwa mkono wake mwenyewe kisha akenda kumhoji.
Ni kawaida kabisa kwa "mtenda kosa kujiweka kimbelembele na kujidai kusaidia kumtafuta mwenye makosa, kulikoni kuepuka kujitokeza kwani kwa kufanya hivyo anaweza kushukiwa". Hii haimaanishi kusema kuwa Msangi anahusika, lakini uwezekano upo.
 
attachment.php

Look at him the brutal and assassin what a shame

Shame indeed km hawatupigi changa la macho
 
Kwa hali ilivyo unategemea Prof. Maseru atasema " yah!! ndio, Dr. Ulomboka alimwambia maletee wallet yake, na msangi akakurupuka kutoka wodini!!""' alafu na yeye kesho atasemewa na nani??
 
malipo yote hapa duniani kwa kifupi kama hawa wametenda basi Mungu atawalipiza kwa mbaya zaidi
 
Ukweli haupingiki Tumwombee Ulimboka kwa God akirudi ukwl utajulikana.
 
hapo umenifumbua macho. maana nilikuwa bado gizani....thank kwa uzi huu..sasa tuchape kazi, majungu na uzushi kwapani
 
HUU NI USANII NA UHUNI MTUPU WA SERIKALI YA CHAMA CHA MAGAMBA,
IVI UKIWA NA UGONVI NA MKEO HALA Say, MKEO IKATOKEA AKAFARIKI NI WAZI WA KWANZA KUWA SUSPECTED NI WEWE KWANI MLIKUWA NA UGONVI.... FULL STOP
SASA DR ALIKUWA ANA UGONVI/ MIVUTANO NA SERIKALI J4 USIKU AKATEKWA AKASULUBIWA NA KUJERUHIWA VIBAYA... HAPA SUSPECT NI NANI KWA VYOVYOTE NI SERIKALI, KWA UJINGA NA KUTOKUELEWA KWAO ATI WAO NDO WANAUNDA TUME AH AH AH, MLITUDANGANYA ENZI ZA MWALIMU NA SI SASA, KAWADANYE WA DODOMA WANAOWAPA KURA ATA MKIWATUKANIA MAMA ZAO KURA WATAWAPA TU...
MY TAKE, HII TUME YA NGEDERE KUMCHUNGUZA TUMBILI NAWAOMBA WATANZANIA TIMAMU MSIIPE USHIRIKIANO KWANI SUSPECT NAMBA MOJA NI SERIKALI THEN WAO ATI WAMEUNDA TUME KANYABOYA, MJUE KABISA WATANZANIA WA LEO HATUDANGANYIKI NG'OOOOOO
 
  • Thanks
Reactions: KUN
Maumivu ya kichwa huanza tartiiiibu

Kama ilivyo kawaida ukweli unaanza kujulikana. Leo Dr Deo kafunguka kwenye Power Breakfast, naanza kupata picha
 
Hapana,hapana,hapana"binafsi nakataa kabisa huyu bwana msangi mimi ni jirani yangu namtambua nyendo na tabia yake hivyo nauhakika hawezi kutenda jambo hilo,ngijeni niwaambie wana jf,msangi tangu nimfahamu amekuwa mtu ambae eti ''''ni mfuatiliaji mzuri na mpelelezi wakimataifa hivyo katika tume hiyo anastahili kuwepo,tuache kumpa hatia mtu asiyehusika'
ASIYE NA DHAMBI NA AOKOTE JIWE.........

mbona hoja yako dhaifu! Wewe una weza ukawa una mjua sana tofauti!
Kwa hiyo hiyo kila tabia ya kamanda msangi unaijua vizuri?
Au kwa sababu huwa mnachekeana kwa hiyo ndiyo alivyo?

Huwa unakwenda nae offisini?
 
  • Thanks
Reactions: KUN
Mwandishi wa gazeti naona kakosea kwani hajaweka maelezo ya Dr Deo kuhusu hilo suala kama alilisikia kutoka kwa Dr Uli au la, pia mwandishi alitakiwa amalizie kumhoji tena Dr Uli kuhusu kauli hiyo kama ni kweli aliitoa au la.

Ili jamii ijue. maana tusije kujikita mbali zaidi kumbe maadui wake wako nae close. Pia mie naona hiyo isue ipo simple kwani Dr Deo sianajua namba ya simu ya Dr Uli?

Kwanini wasiende police kuchukua ruhusa ya kufata records za namba yake kwenye mtandao anautumia Dr Uli. Hizo namba zilizokuwa zinawasiliana nae zitaonekana pia zilikuwa zinawasiliana na nani kwa majina yataonekana. wakifata sheria nadhani itawezekana. Tuache kuizushia moja kwa moja serikali kilahisi ivo.

mwandishi hajakosea bali that was plan b to fake tanzanian

they must know we are not fool
 
Msangi ndugu yangu Msangi weeee ebu jisomee hapa mwenyewe..Bold Nyeusi kwa nyeusi, Blue kwa Blue na Nyekundu kwa Nyekundi.. Shahidi wako akana na pengine kuruka vile vile - msinishirikisheeeee!

Msangi:-
Kwanza ifahamike mimi huyu Dk. Ulimboka na mwenzake Dk. Deo nimewafahamu siku nyingi sana. Kwa maana hiyo ni mtu anayenifahamu vizuri tu. Kuna upotoshaji wa makusudi umefanywa ambao mimi nadhani una msukumo wa kisiasa.

Alichosema Dk. Ulimboka nilipozungumza naye, ni kwamba
simu moja ilidondoka, nyingine wale watu waliomteka wameichukua pamoja na wallet yake. Hivyo alikuwa ananitajia vitu vilivyopotea. Nilipomuuliza iwapo anakumbuka namba ya simu, aliniambia nikamuulize Dk. Deo. Sasa nashangaa mtu aliyepenyeza uongo huu kwamba alisema mimi ndiye niliyempora hivyo vitu… sielewi ni nani na ana malengo gani.

Wakati anazungumza maneno haya,
alikuwapo Profesa Museru ambaye ni Mkurugenzi wa MOI. Sina cha kuficha kamuulize tu, atakwambia alichosema Dk. Ulimboka. Yupo pia Dk. Deo, huyu ananifahamu na Dk. Ulimboka anasema walikuwa wote wakati anatekwa. Dk. Deo ananifahamu, akaulizwe iwapo mimi ndiye niliyemteka Dk. Ulimboka.

Profesa Museru:-
Mimi ndiye niliyempeleka pale wodini. Ni bwana mzuri tu. Nilimu-introduce (nilimtambulisha), akaanza mahojiano. Mimi hilo sikulisikia kwamba ameambiwa arejeshe simu na wallet, hilo sikulisikia.




Mkandara mkuu yani Unamainisha Huyo Profesa mseru (profesa mzima na Dr) kweli ataogopa na kunyali kusema ukweli hata kwenye vyombo vya habari? mkuu haileti maana kabisa.
Na Dr Deo yy alikuwepo na Dr Uli wakati anazolewa mbona hatusikii kutoka kwake?
Ina maana Madokta nao kuna jambo wanaficha?
 
Hilo gazeti linadanganya
Wamechelewa kwani gazeti hilo nakaza zilishasambaa mitaani. Wao walikazia macho magazeti yenu kufumua mazito kama Mwananchi, Tanzania Daima, kumbe wenzao wamewazunguka mbuyu kushtukia nakala zimejaa mitaaani.
 
Mnaosema kwamba Msangi hawezi kuhusika na kutekwa kwa Dkt. Ulimboka halafu pia aende Muhimbili kumuona nadhani mnakosea.

Sasa, sisemi kwamba anahusika moja kwa moja na kwamba ushahidi ninao. La hasha. Ninachosema ni kwamba hilo la yeye kufanya hivyo linawezekana kabisa.

Someni hiki kisa hapa cha mwanamke mmoja huko nchini Marekani ambaye alipigwa risasi nane na mumewe nje ya apartment yao halafu mwanzoni huyo huyo mumewe akawa anaenda hospitali alikolazwa huyo mkewe kujumuika na ndugu wa huyo mke kumjulia hali majeruhi.

Baadaye polisi wakaja kumtaja yeye kuwa ndiye mtuhumiwa namba moja.

Michael Parson, accused of shooting his wife Adina Parson, a Sandy Springs attorney, eight times outside her apartment last month, remained in a Texas jail Monday.




"Parson was arrested by the Texas Highway Patrol following a traffic stop just before midnight Saturday," said Capt. Steve Rose with Sandy Springs police. "He was taken into custody without incident."




Rose said Monday that a grand jury was scheduled to consider an indictment on Friday, "however, that date could be moved up as soon as Tuesday."


On Friday Sandy Springs police issued arrest warrants for Parson, who is accused of shooting Adina Parson eight times, including three times in the head, around 11:45 p.m. on April 20.


Friends of 40-year-old Adina Parson have said Michael Parson was at Grady Memorial Hospital with other family members in the days following the shooting.


Police said he was driving the couple’s 2000 Green Honda Civic, when Texas police arrested him.


Adina Parson remained in critical but stable condition Friday at Grady. She has been unable to speak with investigators.

Outside the hospital Friday night, Adina Parson's aunt, Pam Dickerson, said the family was shocked to learn Michael Parson was believed responsible for the shooting.


"I'm going to offer some prayers to him and his family," Dickerson said. "I originally said somebody who did this to my niece had to be very full of pain. To give pain, you have to be in pain."


Though she remains in critical condition, Adina Parson is improving, the aunt said.

"She’s getting stronger each and every day," Dickerson said. "We are still praying for her complete recovery."

Close friends also expressed shock at the turn of events. "My heart right now is broken," Lisa Childers, a friend of Adina Parson's, told the AJC in a phone interview. "I'm emotionally saddened right now. We're just praying that God will continue to watch over her."


Childers, the executive assistant to the pastor at Elizabeth Baptist Church, previously told the AJC that Adina Parson is known for her compassionate spirit and willingness to volunteer countless hours to the church.


Police have said Adina Parson, an attorney with the state Department of Public Health, was shot as she was leaving the Residences of Morgan Falls apartment, off Roswell Road.Investigators initially said her husband was not a suspect, but that recently changed, Rose said.

"It was a lot of work on the detectives' part," he said.

In the days following the shooting, friends and family members held two prayer vigils to honor the woman, with hopes that someone would come forward with more information for police.


Michael Parson will be charged with aggravated assault, aggravated battery, possession of a firearm during the commission of a felony and giving false statements in writing concealing the facts of a felony, Rose said on Friday. He is being held in the Van Zandt County Jail in Canton, Texas, Rose said.
 
Msangi ndugu yangu Msangi weeee ebu jisomee hapa mwenyewe..Bold Nyeusi kwa nyeusi, Blue kwa Blue na Nyekundu kwa Nyekundi.. Shahidi wako akana na pengine kuruka vile vile - msinishirikisheeeee!

Msangi:-
Kwanza ifahamike mimi huyu Dk. Ulimboka na mwenzake Dk. Deo nimewafahamu siku nyingi sana. Kwa maana hiyo ni mtu anayenifahamu vizuri tu. Kuna upotoshaji wa makusudi umefanywa ambao mimi nadhani una msukumo wa kisiasa.

Alichosema Dk. Ulimboka nilipozungumza naye, ni kwamba
simu moja ilidondoka, nyingine wale watu waliomteka wameichukua pamoja na wallet yake. Hivyo alikuwa ananitajia vitu vilivyopotea. Nilipomuuliza iwapo anakumbuka namba ya simu, aliniambia nikamuulize Dk. Deo. Sasa nashangaa mtu aliyepenyeza uongo huu kwamba alisema mimi ndiye niliyempora hivyo vitu… sielewi ni nani na ana malengo gani.

Wakati anazungumza maneno haya,
alikuwapo Profesa Museru ambaye ni Mkurugenzi wa MOI. Sina cha kuficha kamuulize tu, atakwambia alichosema Dk. Ulimboka. Yupo pia Dk. Deo, huyu ananifahamu na Dk. Ulimboka anasema walikuwa wote wakati anatekwa. Dk. Deo ananifahamu, akaulizwe iwapo mimi ndiye niliyemteka Dk. Ulimboka.

Profesa Museru:-
Mimi ndiye niliyempeleka pale wodini. Ni bwana mzuri tu. Nilimu-introduce (nilimtambulisha), akaanza mahojiano. Mimi hilo sikulisikia kwamba ameambiwa arejeshe simu na wallet, hilo sikulisikia.




Big up.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom