Anayetuhumiwa kumteka DR. Ulimboka azungumza

Katika hali ya kawaida na ustaarabu huyu Msangi maadamu ameshatajwa kuhusika na habari zimesambaa sana na zimekaa kwenye mioyo ya watu basi angejiondoa kwenye hii tume ili tume iwe huru! maana kwa sasa ripoti ambayo itakubalika na jamii ambayo Msangi ataitoa ni kama akisema polisi walihusika lakini akisema hawakuhusika hakuna mtu ataamini hata kama kweli hawakuhusika! Serikali nayo kwa upande wake kama kweli haikuhusika na inataka kujisafisha iundwe tume huru isihusishe polisi wawepo majaji madaktari na wanancchi wengine wanaoaminiwa na jamii! Lakini hii jeshi la polisi na serikali kung,angania kuchunguza wakati wao ni watuhumiwa nambari moja ni sawa na kuoga na matope !!!
 
Kama watu hawana imani nae kwenye tume ya uchubguzi na wanamshuku kuwa ndiye aliyehusika kwanini asijitoe awekwe mtu mwingine ili kuondoa kiwingu?
 
Kamanda msangi Anahusika. Profesa anahongwa kusafisha. Haiwezekani kamwe kutakatisha kitambaa cheupe kwa damu. Msangi jiuzulu
Hii inaingia akilini kidogo..........

Msangi hana jeuri ya kumteka mtu hadharani kwa mkono wake mwenyewe kisha akenda kumhoji.
 
Ni habari njema sana kuona polisi wetu ni wanasheria na wanasiasa!


Nchii hii kila kitu kinawezekana
 
Hii inaingia akilini kidogo..........

Msangi hana jeuri ya kumteka mtu hadharani kwa mkono wake mwenyewe kisha akenda kumhoji.

Nadhani we unapoteza kumbukumbu, Mheshimiwa Andrew Chenge mara baada ya ku resign nafasi yake ya uwaziri wa miundo mbinu kwa kashfa ya Rada na mambo mengineyo ya kifisadi, then akasababisha ajali iliyo ua watu wawili na uchunguzi uliendelea zaidi ikaonekana hata gari lake lilikuwa halina Bima, chama chake kilimchagua kuwa mwenyekiti wa maadili, hii ndio Tanzania bwana,

Mzee Mengi alipotoa majina ya mafisadi wakubwa tena kwa ushahidi kamili TBC hawakutangaza kabisa tukio lile (kumbuka ilifanya Press Conference), mtuhumiwa mmoja wapo alikuwa bwana Rostam Azizi, Rostam alipotaka kujibu mapigo, TBC na Takukuru walikuwepo, yapo mengi, ngoja nikupe la mwisho, Sakata la kubambikiziwa madawa ya kulevya mtoto wa Mengi, tume iliundwa, mmojawapo wa wana tume nae alikuwa mtuhumiwa na ndiye pia aliyetumwa hata kwa Dr Herrison Mwakyembe, nchi hii viongozi hawana aibu
 
Msangi ndugu yangu Msangi weeee ebu jisomee hapa mwenyewe..Bold Nyeusi kwa nyeusi, Blue kwa Blue na Nyekundu kwa Nyekundi.. Shahidi wako akana na pengine kuruka vile vile - msinishirikisheeeee!

Msangi:-
Kwanza ifahamike mimi huyu Dk. Ulimboka na mwenzake Dk. Deo nimewafahamu siku nyingi sana. Kwa maana hiyo ni mtu anayenifahamu vizuri tu. Kuna upotoshaji wa makusudi umefanywa ambao mimi nadhani una msukumo wa kisiasa.

Alichosema Dk. Ulimboka nilipozungumza naye, ni kwamba
simu moja ilidondoka, nyingine wale watu waliomteka wameichukua pamoja na wallet yake. Hivyo alikuwa ananitajia vitu vilivyopotea. Nilipomuuliza iwapo anakumbuka namba ya simu, aliniambia nikamuulize Dk. Deo. Sasa nashangaa mtu aliyepenyeza uongo huu kwamba alisema mimi ndiye niliyempora hivyo vitu… sielewi ni nani na ana malengo gani.

Wakati anazungumza maneno haya,
alikuwapo Profesa Museru ambaye ni Mkurugenzi wa MOI. Sina cha kuficha kamuulize tu, atakwambia alichosema Dk. Ulimboka. Yupo pia Dk. Deo, huyu ananifahamu na Dk. Ulimboka anasema walikuwa wote wakati anatekwa. Dk. Deo ananifahamu, akaulizwe iwapo mimi ndiye niliyemteka Dk. Ulimboka.

Profesa Museru:-
Mimi ndiye niliyempeleka pale wodini. Ni bwana mzuri tu. Nilimu-introduce (nilimtambulisha), akaanza mahojiano. Mimi hilo sikulisikia kwamba ameambiwa arejeshe simu na wallet, hilo sikulisikia.




Yaani hapo Prof. Museru anamtoa Msangi kisha anamuingiza katika tuhuma.

Ukweli ni kwamba huyu jamaa amehusika; hapa anajitetea. KWani kaawaida hata mwizi ukimkamata ameingiza mkono wake mfukoni mwako bado atajitetea kuwa alikuwa anakufuta vumbi.

Huyu ni muuaji mkubwa.



MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Sasa hapa Msangi ndio kaharibu kabisaaa...

Na ndio maana kumekuwa na move nyingi pale ubalozini kwetu SA kuhakikisha kuwa Dr Ulli harudi akiwa hai ili ku justify utetezi wake huu.
Thanx Vimon for such a useful information zinazomchanganya na kumtesa mtekanyara huyu hadi Leo,
 
Tutayajua mengi, kumbe ni mmiliki mwenza wa gazeti hili, dah hizi habari na za uongo na gazeti hili ni la kusafishana na ata litakuwa gazeti kwa maslahi ya mafisadi
 
Pro Museru Ameshapewa cha juu na kuahidiwa cheo hivyo hawezi kuwa upande wa Ulimboka siunajua tena watanganyika walivyo na tamaa ya madaraka. Habari kamili tutasikia kinywani mwa Ulimboka mwenyewe. Ulimboka alivyo atamungunya maneno kama akina Mwakyembe waliogopa kusema ukweli kwa kuogopa kunyang'anywa vyeo, anaona bora afe ila ukimwona alivyo ngozi imekuwa kama chatu alievua gamba.
 
hii ni kazi ya Alibi network ndio wako busy kuandaa taarifa yenye kupindisha uongo (false Alibi) juu ya tukio zima na wahusika wake na wakati huo huo mipango ya kuuaminisha umma wa watanzania uongo ikiendelea. msangi ni mmoja wa watekaji. mpaka sasa hakuna uchunguzi wowote unaofanyika isipokuwa kikundi hiki kiko bize kueneza propanganda na kueneza taarifa za uongo kama hizo kwenye gazeti hilo la jamhuri.
 
Msangi ndugu yangu Msangi weeee ebu jisomee hapa mwenyewe..Bold Nyeusi kwa nyeusi, Blue kwa Blue na Nyekundu kwa Nyekundi.. Shahidi wako akana na pengine kuruka vile vile - msinishirikisheeeee!

Msangi:-
Kwanza ifahamike mimi huyu Dk. Ulimboka na mwenzake Dk. Deo nimewafahamu siku nyingi sana. Kwa maana hiyo ni mtu anayenifahamu vizuri tu. Kuna upotoshaji wa makusudi umefanywa ambao mimi nadhani una msukumo wa kisiasa.

Alichosema Dk. Ulimboka nilipozungumza naye, ni kwamba
simu moja ilidondoka, nyingine wale watu waliomteka wameichukua pamoja na wallet yake. Hivyo alikuwa ananitajia vitu vilivyopotea. Nilipomuuliza iwapo anakumbuka namba ya simu, aliniambia nikamuulize Dk. Deo. Sasa nashangaa mtu aliyepenyeza uongo huu kwamba alisema mimi ndiye niliyempora hivyo vitu… sielewi ni nani na ana malengo gani.

Wakati anazungumza maneno haya,
alikuwapo Profesa Museru ambaye ni Mkurugenzi wa MOI. Sina cha kuficha kamuulize tu, atakwambia alichosema Dk. Ulimboka. Yupo pia Dk. Deo, huyu ananifahamu na Dk. Ulimboka anasema walikuwa wote wakati anatekwa. Dk. Deo ananifahamu, akaulizwe iwapo mimi ndiye niliyemteka Dk. Ulimboka.

Profesa Museru:-
Mimi ndiye niliyempeleka pale wodini. Ni bwana mzuri tu. Nilimu-introduce (nilimtambulisha), akaanza mahojiano. Mimi hilo sikulisikia kwamba ameambiwa arejeshe simu na wallet, hilo sikulisikia.




huenda anazushiwa,ila pia huenda ni kweli,lakini kwa kutajwa kwa polisi kuhusika kunatia shaka,,,,yuko wapi Dr Deo????
 
Nadhani we unapoteza kumbukumbu, Mheshimiwa Andrew Chenge mara baada ya ku resign nafasi yake ya uwaziri wa miundo mbinu kwa kashfa ya Rada na mambo mengineyo ya kifisadi, then akasababisha ajali iliyo ua watu wawili na uchunguzi uliendelea zaidi ikaonekana hata gari lake lilikuwa halina Bima, chama chake kilimchagua kuwa mwenyekiti wa maadili, hii ndio Tanzania bwana, Mzee Mengi alipotoa majina ya mafisadi wakubwa tena kwa ushahidi kamili TBC hawakutangaza kabisa tukio lile (kumbuka ilifanya Press Conference), mtuhumiwa mmoja wapo alikuwa bwana Rostam Azizi, Rostam alipotaka kujibu mapigo, TBC na Takukuru walikuwepo, yapo mengi, ngoja nikupe la mwisho, Sakata la kubambikiziwa madawa ya kulevya mtoto wa Mengi, tume iliundwa, mmojawapo wa wana tume nae alikuwa mtuhumiwa na ndiye pia aliyetumwa hata kwa Dr Herrison Mwakyembe, nchi hii viongozi hawana aibu

Ndio nini hiki?!

Dr. Ulimboka tunaambiwa kuwa alitekwa mbele ya Dr.Deo na watu wengineo.

Hii inamaanisha kuwa kwa uchache, kuna shahidi mwengine madhubuti upande wa Dr. Ulimboka ambae amewaona watekaji hao.

Hadi sasa hakuna nukuu yoyote kutoka chanzo credible ya ama Dr. Ulimboka au Dr. Deo kueleza kuwa Msangi ni mmoja wa watekaji

Chanzo cha habari hapa JF ni mtu mwenye hidden ID ambae amesema alikuwepo. Hatuwezi kuthibitisha chochote kwa sababu hatumjui wala hatuwezi kumfanyia cross examination....for all we know, anaweza kuwa ni mgonjwa wa akili, muongo muongo, mzito wa kuelewa, hasikii vizuri, anapenda umaarufu japo wa kwenye Internet, na mengineyo

Hadi tutakapopata nukuu kutoka kwa hao wawili niliowataja, maelezo ya Msangi yanakubalika zaidi......ni ngumu kuaminishwa Msangi ana ubavu wa kumteka mtu jahara akijua kaacha mashahidi wa kutosha, kisha akenda tena wazi kuwahoji wote wawili mbele za watu wengi

Msangi is a crook but he aren't that dumb
 
simu moja ilidondoka, nyingine wale watu waliomteka wameichukua pamoja na wallet yake.

Kwanini isikike haya tu yaani mnapanga namna ya kujitetea unatoa neno NIRUDISHIE Sidhani kama Msangi utaishi kwa muda mrefukwa haya maombi ya watanganyika jibu litapatikana
 
Hii inaingia akilini kidogo..........

Msangi hana jeuri ya kumteka mtu hadharani kwa mkono wake mwenyewe kisha akenda kumhoji.
Wewe tupo wote kwenye threads za hili sakata ila kumbe husomi ukaelewa.

Msangi amekiri anafahamiana na Dr. Ulimboka siku nyingi. Kwa akili yako ataenda Leaders club? Kwakuwa katajwa it only makes sense if he participated in the later stages including taking of his phone.

Have you noticed their choice of words i.e Msangi na yule mkurugenzi? so hypocritical.

Mkurugenzi is even trying to spin it " you mean as in running? he didn't run we walked out together" he is here trying to cover up that Msangi had to leave when he realised Dr. Ulimboka still recognize him.

They both rehearsed what to say before they made themselves available for a media interview
 
Back
Top Bottom