QUALITY
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 853
- 115
ANAYETAKA KUMWAGA DAMU AKAMATWE MARA MOJA
Hii ni kauli iliyotolewa juma moja lililopita baadaa ya Mnajimu wa JWTZ kujitokeza na kusema kuwa kuna wanasiasa wanataaka damu imwagike ili mradi waingie madarakani.
Dr. Slaa alitoa kauli kali kuwa yule anayetaka kumwaga damu, akamatwe mara moja na kufikishwa mbele ya vyombo vya sheria. Kimya Kimya Mpaka tunavyongea leo hakuna mtu hata mmoja ambaye amekamatwa kwa kujihusisha na suala la damu kumwagika. Maana yake ni nini?
Lakini kwanini kutapatapa namna hii? Kama watanzania wameamua kufanya mabadiliko, na hawaungi mkono CCM, suala siyo kupaniki bali ni kutulia na kuendelea na kampeni mpaka situ ya uchaguzi. Kama CCM ikishindwa, ikubali na wasikate tamaa maana hii ni nchi ya watanzania wala siyo ya CCM wala CUF wala CHADEMA. Watanzania wanaipenda Tanzania ila wamemchoka Kikwete na CCM yake. Apumzike, yumkini akija kugombea tena yeye au mwingine kupitia CCM, ataweza kushinda.
Hiyo ndiyo itendeleza amani na utulivu.
Siku njema :rain:
Hii ni kauli iliyotolewa juma moja lililopita baadaa ya Mnajimu wa JWTZ kujitokeza na kusema kuwa kuna wanasiasa wanataaka damu imwagike ili mradi waingie madarakani.
Dr. Slaa alitoa kauli kali kuwa yule anayetaka kumwaga damu, akamatwe mara moja na kufikishwa mbele ya vyombo vya sheria. Kimya Kimya Mpaka tunavyongea leo hakuna mtu hata mmoja ambaye amekamatwa kwa kujihusisha na suala la damu kumwagika. Maana yake ni nini?
- Hakuna aliyesema au aliyeonesha hisia za kumwaga damu
- ulikuwa ni uzushi kuwatisha wapiga kura
- Sera zimeisha na hivyo imebaki kutapatapa.
Lakini kwanini kutapatapa namna hii? Kama watanzania wameamua kufanya mabadiliko, na hawaungi mkono CCM, suala siyo kupaniki bali ni kutulia na kuendelea na kampeni mpaka situ ya uchaguzi. Kama CCM ikishindwa, ikubali na wasikate tamaa maana hii ni nchi ya watanzania wala siyo ya CCM wala CUF wala CHADEMA. Watanzania wanaipenda Tanzania ila wamemchoka Kikwete na CCM yake. Apumzike, yumkini akija kugombea tena yeye au mwingine kupitia CCM, ataweza kushinda.
Hiyo ndiyo itendeleza amani na utulivu.
Siku njema :rain: