KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
Huwa nashangaaga mtu anaitisha press conferernce anaishia kusema mfano ''kesho kutwa nitaitisha press conference nyingine na kutoa habari kamili''.
Huwa nashangaaga mtu anaitisha press conferernce anaishia kusema mfano ''kesho kutwa nitaitisha press conference nyingine na kutoa habari kamili''.
Mkuu kwenye hili, Kamanda Kova ndo bingwa,, tangu akiwa Mbeya. Yeye huwa anatoa habari nusu nusu ili aendelee kuuza sura magazetini na kideoni.
makamba je?
Huwa nashangaaga mtu anaitisha press conferernce anaishia kusema mfano ''kesho kutwa nitaitisha press conference nyingine na kutoa habari kamili''.
Mkuu kwenye hili, Kamanda Kova ndo bingwa,, tangu akiwa Mbeya. Yeye huwa anatoa habari nusu nusu ili aendelee kuuza sura magazetini na kideoni.
makamba je?
kovaa kibaya zaid sura yake mbayaaaaaaaaaa macho ka ndura
Ha ha ha... Tendwa anaboa hata kumsikiliza, neno moja litavutwa kwa pozi mpaka basi... NIlidhani mie nina bias nae kumbe pia mkuu umeona eeh!Mwingine John Tendwa.
Huwa ananikera sana jinsi anavyotamka maneno ka sholi vile. Yuko feki sana kimatamshi.