Anayeogopwa na Serikali.

Ndibalema

JF-Expert Member
Apr 26, 2008
10,956
4,647
Adawi%2B66.JPG


AL ADAWI.
 
hawamuogopi wala nini ila ndio mlango wao wa kula pesa za walipa kodi.wanatuchezea movie tu hawa,hawana lolote.
 
Roho mbaya tu, anaogopwa na wanao msemasema hovyo. Kawakosa nini? Awe Mpemba au Mwarabu ana nini alilowakosea? Au kudai chake imekuwa nongwa?
 
Vyombo vyetu vya usalama vimekuwa kama mbwa koko, vinaogopa wezi na wavamizi, vikiamrishwa kufukuza wezi na wavamizi vinawageaukia wamiliki na kuwang'ata!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom