Kashuka lini huyu BWANA?.
.
Najua akisha hukumiwa kifo atafufuka halafu atapaa tena!.
.
BWANA Ukishuka tena
Ibukia TZ uje uwashughulikie mafisadi!
.Pumba kama kawaida yako.
Mzee hi habari unaipa Breaking News!
mbona ilitoka siku nyingi tu kwenye website ya nifahamishe.com au kwa kuwa michuzi kaitoa leo?
icheki hapa
http://www.nifahamishe.com/NewsDetails.aspx?NewsID=2160326&&Cat=2