manutddevil
Member
- Apr 22, 2012
- 5
- 0
Habari kutoka chanzo cha kuaminika zinasema kuwa, mzee mmmoja anayejulikana kwa jina la Nzuankende Kitundu almaarufu kwa jina la MBUNGE wa Kijiji cha misigiri wilayani Iramba mkoani Singida amehama chama chake cha CCM na kuhamia CHADEMA.
Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa Mbunge huyo zinasema kuwa amehamia CHADEMA kutokana na tohuma mbalimbali za ufisadi zinazoelekezwa CCM ambazo yeye aliziita ni za kweli.
Aidha Mbunge huyo aliendelea kusema kuwa wakati umefika sasa wa Ukombozi wa Taifa la Tanzania na hivyo kutoa wito kwa watanzania wote wenye mapenzi ya dhati na Taifa hili kuhamia CHADEMA kwani wameonesha wana nia ya Dhati ya ukombozi wa Watanzania.
Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa Mbunge huyo zinasema kuwa amehamia CHADEMA kutokana na tohuma mbalimbali za ufisadi zinazoelekezwa CCM ambazo yeye aliziita ni za kweli.
Aidha Mbunge huyo aliendelea kusema kuwa wakati umefika sasa wa Ukombozi wa Taifa la Tanzania na hivyo kutoa wito kwa watanzania wote wenye mapenzi ya dhati na Taifa hili kuhamia CHADEMA kwani wameonesha wana nia ya Dhati ya ukombozi wa Watanzania.