Naomba msaada wapendwa, anayefahamu vizuri hii tume ya mionzi, kwani nimeitwa kwenye usaili next wk, na wanasema kwa nafasi niliyoomba mshahara ni PRSS 1, nini maana yake? Na vp maslahi mengine kama yapo?
Ni hilo tu wapendwa.
Tume ya Mionzi ni pazuri kama umesoma mambo ya science maana wanapata sana scholarship za kusoma nje juu ya mambo ya nyuklia. Na kwa mshaara wa PRSS bila shaka wewe ni engineer au scientist maana unaajiriwa kama Researcher. Mshahara wa PRRS 1 ni kati ya 700,000-800,000/-(basic).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.