Dah!umefanya vyema sana,sasa kwa nini usiweke wazi jinsi ya kufanya,faida yake huwa inapatikana vp?nini unatakiwa uwe nacho?tofauti kati ya tigo pesa na m-pesa nk.? weka wazi nahisi wengi wangependa kuelewa ndio wa kupm.
Miminahitaji hiyo line ya TIGO PESA Naomba nitumie No.yako ya simu kwenye private message nitakupigia for more infomation. Fanya haraka maana nitaimaliza hela niliyoi save
Asante
habari, kwa kweli nahitaji, sasa naomba mwongozo, pia ni vyema kama alivyoshauri mwanachama mwenzetu ukatufahamisha faida na namna ya kuwa wakala wa tigo pesa ukilinganisha na mitandao mingine.
Mbona mtu mwenyewe hajibu watu tunaouliza ? Nimemwomba anitumie number yake kwenye private messge lakini naona yuko kimya?
Kaka are you seriuos unataka kuuzia watu hizo line za Tigo Pesa?
Asante kwa kutujibu
Huyo jamaa tapeli,beta muende tgo mkapatiwe zakwenu 2,...short cut iz a wrong cut mcje ku2lilia humu na vicent vyenu vya urith hivyo kama mlivyofanywa na decci.......onyo onyo
Huyo jamaa tapeli,beta muende tgo mkapatiwe zakwenu 2,...short cut iz a wrong cut mcje ku2lilia humu na vicent vyenu vya urith hivyo kama mlivyofanywa na decci.......onyo onyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.