Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,211
- 113,520
Hii ndo JF yazamani hii
Wewe umejiunga Nov.2, 2009 na unaiona hii mada kuwa ndo JF ya zamani?
Hii ndo JF yazamani hii
Siunajua mzee enzi za mpaka muheshimiwa mbunge kutupa sredi ya malavidavi si mchezo......
mpendwa,
ukiangalia tarahe ya thread, inaonekana uchaguzi wa 2010 ulikuwa bado na katika baadhi ya quotes, walikuwa wakimquote kama "mgombea ubunge" huyu mtu nakumbuka kukutana na thread yake mahali kuwa anabadilisha ID baada ya kushinda ubunge!
so inaonekana kuwa wakati anarusha hii thread hakuwa mbunge bali alikuja kugombea baadaye na kushinda!
ubarikiwe sana
Wewe umejiunga Nov.2, 2009 na unaiona hii mada kuwa ndo JF ya zamani?
hakuna cha mapepo wala nini, ni kwamba mwanamke huyo ni mkweli zaidi na inaonyesha ni namna gani ana upendo wa kweli maana anayempenda ni mmoja tuu!!! na huo ndio upendo wa kweli, wanaodhani aombewe sijui kwanini wanafikiri hivo. Tatizo tuliowengi hatuna upendo wa kweli hasa TZ ndio maana unaona hata wana ndoa sio rahisi kuongozana au hata kubusiana mbele ya watu. siku ambayo wataongozana na kushikana mikono ni ile tuuu siku ya harusi yao ambapo nadhani huenda ndio wanahitimisha upendo wao na kuanza maisha mengine!!! That woman is very strong!!! other ladies in here should learn something from her. wanaotaka aombewe wafikiri kwa mara ya pili na huenda wao ndio waombewe.
Siunajua mzee enzi za mpaka muheshimiwa mbunge kutupa sredi ya malavidavi si mchezo......
mpendwa,
ukiangalia tarahe ya thread, inaonekana uchaguzi wa 2010 ulikuwa bado na katika baadhi ya quotes, walikuwa wakimquote kama "mgombea ubunge" huyu mtu nakumbuka kukutana na thread yake mahali kuwa anabadilisha ID baada ya kushinda ubunge!
so inaonekana kuwa wakati anarusha hii thread hakuwa mbunge bali alikuja kugombea baadaye na kushinda!
ubarikiwe sana
Wewe umejiunga Nov.2, 2009 na unaiona hii mada kuwa ndo JF ya zamani?