Anaweza kuzaa na mwanamume mmoja tu hapa duniani!!!

Siunajua mzee enzi za mpaka muheshimiwa mbunge kutupa sredi ya malavidavi si mchezo......

mpendwa,

ukiangalia tarahe ya thread, inaonekana uchaguzi wa 2010 ulikuwa bado na katika baadhi ya quotes, walikuwa wakimquote kama "mgombea ubunge" huyu mtu nakumbuka kukutana na thread yake mahali kuwa anabadilisha ID baada ya kushinda ubunge!

so inaonekana kuwa wakati anarusha hii thread hakuwa mbunge bali alikuja kugombea baadaye na kushinda!

ubarikiwe sana
 
mpendwa,

ukiangalia tarahe ya thread, inaonekana uchaguzi wa 2010 ulikuwa bado na katika baadhi ya quotes, walikuwa wakimquote kama "mgombea ubunge" huyu mtu nakumbuka kukutana na thread yake mahali kuwa anabadilisha ID baada ya kushinda ubunge!

so inaonekana kuwa wakati anarusha hii thread hakuwa mbunge bali alikuja kugombea baadaye na kushinda!

ubarikiwe sana

Miss Judi mambo.....
 
hakuna cha mapepo wala nini, ni kwamba mwanamke huyo ni mkweli zaidi na inaonyesha ni namna gani ana upendo wa kweli maana anayempenda ni mmoja tuu!!! na huo ndio upendo wa kweli, wanaodhani aombewe sijui kwanini wanafikiri hivo. Tatizo tuliowengi hatuna upendo wa kweli hasa TZ ndio maana unaona hata wana ndoa sio rahisi kuongozana au hata kubusiana mbele ya watu. siku ambayo wataongozana na kushikana mikono ni ile tuuu siku ya harusi yao ambapo nadhani huenda ndio wanahitimisha upendo wao na kuanza maisha mengine!!! That woman is very strong!!! other ladies in here should learn something from her. wanaotaka aombewe wafikiri kwa mara ya pili na huenda wao ndio waombewe.:D


That is where we are going for sure, sasa mkaka umpende, umpe heshima zote , huku hakupi shs 10! Bado acheat around akuletee magonjwa ya zinaa na moyo, ya nn! Mkaka smart mnakubaliana mtt then kila mtu kivyake mnalea mtt full heshima, no kuumizana na kufanyana comeds
 
Siunajua mzee enzi za mpaka muheshimiwa mbunge kutupa sredi ya malavidavi si mchezo......

mkuu,

enzi hizo nilikuwa bado sijawa mbunge. nilikuwa najulikana kwa ID ya mgombea ubunge. nilibadili ID baada ya kushinda kiti cha bunge kwa mara yangu ya kwanza katika uchaguzi mkuu uliopita

ni katika kuweka tu kumbukumbu sawa
 
mpendwa,

ukiangalia tarahe ya thread, inaonekana uchaguzi wa 2010 ulikuwa bado na katika baadhi ya quotes, walikuwa wakimquote kama "mgombea ubunge" huyu mtu nakumbuka kukutana na thread yake mahali kuwa anabadilisha ID baada ya kushinda ubunge!

so inaonekana kuwa wakati anarusha hii thread hakuwa mbunge bali alikuja kugombea baadaye na kushinda!

ubarikiwe sana

asante sana kwa ufafanuzi mzuri dadangu, uibarikiwe sana
 
Back
Top Bottom