Kwa hiyo umeingia hapa kutuma ujumbe kwa Mungu?
At least sasa hivi ameweza hata kula mtori kidogo.Nawashukuruni wote,MUNGU awabariki.
kapaKabana, Pole..... lakini naona kama vile dawa unayo mwenyewe. Mpe na atapona haraka. Usicheleweshe tiba kwa mgonjwa.
nafahamu uko kwenye wakati mgumu rafiki. lkn kumbuka Mungu ana makusudi ya kumfanya shem augue, yote ni
kutaka kukupima utam care vipi kipindi kama hiki, je, ww ni wa dhati kweli kwake?
kumbuka rafiki wa kweli hujionyesha kipindi kama hiki.
tupo pamoja.
At least sasa hivi ameweza hata kula mtori kidogo.Nawashukuruni wote,MUNGU awabariki.
Bado natafakari na kufuatilia! Inaonekana unaniongelea mimi mwanzo mwisho!? Nahisi nitagundua kitu hapa. Thanks anyway!
kwani na wewe mgonjwa?
Madaktari wamegoma!Nakushauri umpeleke Garage haraka sana acha kupoteza muda humu. Tutaendelea kumwombea wakati mafundi wanamshughulikia. Mpe pole. I'm here for you too!
Ananipenda,ananijali!Nilishaanza kuwa na amani moyoni mwangu kwa mapenzi mazito niliyopokea kutoka kwake.Tangu jana mpenzi wangu ameanza kuumwa sana,presha iko juu sana mpaka leo hali bado sio nzuri.
Kama Mungu nilivyokuambia kuwa huyu mwanaume ni furaha yangu,nakuomba umrudishie afya yake jamani.
dawa mnayo nyie madoctorz na Mungu ndo final healer.