Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,664
Kama ni mimi nambaka tu.
Bora wewe kuliko wanaosema wanahamia nyumba ndogo!!
Kama ni mimi nambaka tu.
Wanaume wengine wenye makusudi mabaya hawafanyi hivyo, hawamsubiri mpaka na yeye atake ndio wakatae, anaweza tafuta siku tu, ugomvi ukishatulia, akamuandaa Mkewe kama ndio anataka kumpa mavituz, halafu ghafla akamuaga kuwa anaenda kwa rafiki yake kwani muda huo walipanga waonane, unavaa chap chap na kutoka, nakwambia atakukoma, maana utakuwa umemuacha akihang hang.
...kuna wakina dada wanasubiri ukiwa kwenye "chorus" ndio wanakwambia (kukuomba) kitu ambacho wanajua ukiwa ktk hali ya kawaida utasita kukikubali. Mfano: "Honey, utaenda lini kujitambulisha nyumbani kwetu?". Inaboa mbaya. I hate emotional blackmail!
kinyoba hapo umenena neno mwanamke ataumia sana na atajiona mjinga.......Unachukua sabuni unapiga punyeto mbele yake! Nakwambia harudii tena upuuzi.
Hebu chukulia umeoa mke ambaye ana kisirani hivi, kisirani hicho kinapevuka na kufikia mahali anakufanyia jambo ambalo mimi naweza kuliita ni uhuni. Anaanza tabia ya kutumia tendo la ndoa kama rushwa au kama adhabu.
Inapotokea anataka kitu ambacho huna uwezo wa kumtimizia au mmetofautiana au hajaridhishwa na jambo, badala ya kujadili kwa busara na kufikia muafaka, yeye hukukomoa kwa kukunyima tendo la ndoa tena kifedhuli.
Je kama ni wewe ungefanya nini?
Labda ni kujiheshimu....kuna wakina dada wanasubiri ukiwa kwenye "chorus" ndio wanakwambia (kukuomba) kitu ambacho wanajua ukiwa ktk hali ya kawaida utasita kukikubali. Mfano: "Honey, utaenda lini kujitambulisha nyumbani kwetu?". Inaboa mbaya. I hate emotional blackmail!
Hivi hili tendo ni nani analihitaji zaidi ya mwingine!?
ndo ushangae, mimi nivyoupenda huo mchezo sitakaa nimnyime hata siku moja,zaidi atanichoka mimi kwa kumuomba kila siku
Hmmmm...
kitu kipo kwa mwenzio unaleta mabavu!