nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,369
Huu mjadala umenifanya nifikirie tofauti ya mwafrika na mdhungu
Huu mjadala umenifanya nifikirie tofauti ya mwafrika na mdhungu
Very simple!akikunyima unavumilia,na yeye siku amekukwaza halafu anataka unagoma!yaani ngoma droo.
Kama hujaolewa ni pm kimya kimya, naona wewe ni wapekee mno.kha dah watu wengine shida tupu mie ukiniudhi ndo nakupa vizuri hamna mtu kununiwa zaidi ya nusu saa maisha yenyewe matamu hivi
Na mie natoka nje ya ndoa nikirudi naimba zangu Taarabu................. tena nakupiga mipasho ile ya kisawasawa............... mwenyewe utakaa chini..........eh!
Halafu yaelekea wewe mbanifu sana wewe. Husninyo is a bad influence on you. Damn her na Mmasai wake!
...........loh!
Akininyima nahamia kwa housegal...na walivyo wazuri siku hizi
Hebu chukulia umeoa mke ambaye ana kisirani hivi, kisirani hicho kinapevuka na kufikia mahali anakufanyia jambo ambalo mimi naweza kuliita ni uhuni. Anaanza tabia ya kutumia tendo la ndoa kama rushwa au kama adhabu.
Inapotokea anataka kitu ambacho huna uwezo wa kumtimizia au mmetofautiana au hajaridhishwa na jambo, badala ya kujadili kwa busara na kufikia muafaka, yeye hukukomoa kwa kukunyima tendo la ndoa tena kifedhuli.
Je kama ni wewe ungefanya nini?
Kuna movie moja ya ki Ghana niliangalia. Mdada kaolewa na kijana anayependa sex kupita maelezo; anataka 5 round every night. Ndoa ikawa ndoano kwa mdada. Mdada alikuwa mpakak anamlazimisha mmewe kufanya mazoezi kupunguza matamanio ya sex. Akaamua kushare hilo tatizo na mke wa mchungaji wa kanisa ambaye kwake ni kama mama nadhani walikuwa na undugu. Akamsihi amwite mumewe amkanseli na ikiwezekana amshawishi aanze kwenda church kwani anahisi either ana pepo au ni kwa sababu hana kazi ndio maana anawaza sex tu. Eti kuna siku akamuita mumewe na kumwambia amemtafutia kazi nzuri atakuwa CEO wa kampuni ya ndugu zake. Mumewe kaanza kuchekelea; lakini furaha ilikata ghafla baada ya wife kuongeza kuwa anadhani akianza kazi atapunguza kuendekeza sex. Akasema na sitaki hiyo kazi yaani unawasimulia ndugu zako mambo ya ndani
Basi mama mchungaji si akaanza kufanya kanseling hotelini. Mama ana pesa akawa anamuhonga kijana. Mama yuko tayari kwenda mpaka round sita; yaani anafanya kuomba. Mwanaume kasahau home. Akifika amechoka analala. Mkewe kaanza kulalamika tena kuwa maombi ya mama mchungaji yamefanya mumewe achukie sex. In short ndoa ilivunjika kwani mwisho wa siku binti akaanza kutoka na mchungaji na akapata mimba. Kumbe mke wa mchungaji alikuwa hapati mavitu anayotaka toka kwa mumewe hivo hiyo case ilikuwa ni golden opportunity kujipatia kidumu bila kujulikana.
Kwa nini wanaume wa kiafrika mnaamini kuwa ndoa=sex tu??? Yaani ndio maana madawa ya kuongeza nguvu yanapamba kasi unakuta hata mwenye uwezo wa kwenda one round anataka nae alazimishe 6 rounds; why? Ni kutokujiamini au nini? Mimi nadhani kuna wanaohisi kuwa wakifanya less watasaidiwa na si kweli kuwa it is that necessary kwenda several rounds.
Hebu chukulia umeoa mke ambaye ana kisirani hivi, kisirani hicho kinapevuka na kufikia mahali anakufanyia jambo ambalo mimi naweza kuliita ni uhuni. Anaanza tabia ya kutumia tendo la ndoa kama rushwa au kama adhabu.
Inapotokea anataka kitu ambacho huna uwezo wa kumtimizia au mmetofautiana au hajaridhishwa na jambo, badala ya kujadili kwa busara na kufikia muafaka, yeye hukukomoa kwa kukunyima tendo la ndoa tena kifedhuli.
Je kama ni wewe ungefanya nini?
njoo kwangu
Unachukua sabuni unapiga punyeto mbele yake! Nakwambia harudii tena upuuzi.