Habari.naomben ushaur wenu.dada yangu anasumbuliwa na matiti yaan yamekuwa na makubwa na yanatoka maziwa kabisa ila sio mengi sana.tatizo ni kwamba amepiwa ujauzito mara 4 ktk hospital tofauti lkn majibu yanaonesha kuwa hana ujauzito na hata ultra sound amefanya lkn hamna kitu,cha ajabu siku zake anapata kama kawaida.sasa naombeni ushauri ni tatizo gani linalomsumbua maana hata homonies zake alipima na zipo tu normal,je mnahisi tatizo ni nini?