bulldoza
Senior Member
- Sep 28, 2011
- 133
- 42
Pole ..msamehe ila usikimbilie ndoa haraka jipi na mpe muda wa kua-nalize kwanza ili uje kufurahia ndoa badae ila ni vizuri angekueleza yaliyomsibu kuchanganya ujue kama anajutia au ni hobby yake..wakati mwingine Mungu anakuonyesha huyu siye mwanangu na ww unang'ang'ania ..ni mawazo yangu