Prishaz
JF-Expert Member
- Nov 18, 2011
- 2,855
- 4,894
Nitamsamehe lakini ndoa haitarudi tena!
naungana na wewe kwenye hili jibu,hakufaa kuwa mwenza! Yeye mapenzi yake ni wakati wa raha tu shida hazijui! Samehe lkn usimrudie
Nitamsamehe lakini ndoa haitarudi tena!
If you don luv mi now don luv later,when my later is much better.(chriss martin).NN.....Lakini mbona wanawake ni watu wa kusamehe............. kwa nini asistahili msamaha ili apate kujifunza............!
Dah! Bishanga mbona hii ndoa umejihalalIshia fasta...lol
naungana na wewe kwenye hili jibu,hakufaa kuwa mwenza! Yeye mapenzi yake ni wakati wa raha tu shida hazijui! Samehe lkn usimrudie
i, bishanga abashaija, do hereby take you husninyo,as my lawful wife,and i promise to love,care and cherish you ......until kifo kitutenganishe.....(best man tf)
mkuu easily said than done ,hata sisi wanaume tunafanyaga mafyongo haya haya hasa mke anapougua kwa muda mrefu,wanaume kibao huwa wanajitia uwezo wa kuuguza umewaishia mke anaambiwa akaugulie kwao.....maisha haya bana we acha tu.
i like ur fairness! Napenda huwa humung'unyi neno ktk kuwananga hawa viumbe wa kiume. Big up bishanga
Prisha,nina assume we ni mdada,mbona unakandamiza sasa jamani mwenzio?
hapo sawa nakupata.Bishanga mimi ni mdada lkn napenda niwe realistic mpendwa,ikiwa mwenza wako awe wa kiume au wa kike mlipendana kwa dhati hawezi kukukimbia wakati wa shida! Bishanga ukiona hivyo jua huyo alikupendea vitu so anapoona vinayoyoma mapenzi nayo yanayoyoma! Sioni kama huyo ni mke mwema likewise ingekuwa kwa mwanaume!
Nitamfukuzilia mbali arudi huko alikokuwa. Nyambaaaf zake.
I, Bishanga Abashaija, do hereby take you Husninyo,as my lawful wife,and i promise to LOVE,CARE and CHERISH you ......until kifo kitutenganishe.....(best man TF)
Mkuu easily said than done ,hata sisi wanaume tunafanyaga mafyongo haya haya hasa mke anapougua kwa muda mrefu,wanaume kibao huwa wanajitia uwezo wa kuuguza umewaishia mke anaambiwa akaugulie kwao.....maisha haya bana we acha tu.
Hebu fikiria kwamba umefukuzwa kazi au kufilisika kimali, halafu mkeo au mpenzi wako anafanya visa na mikasa ya kila aina ili aweze kuachana na wewe. Hatimaye anafanikiwa na uhusiano wenu au ndoa yenu inavunjika.
Lakini miaka michache baadaye, Mungu siyo Athumani, unarudi kwenye chati. Huyo mwanamke anapata taarifa huko aliko, na anaamua kujileta kwako, yaani kujipendekeza ili arudi. Hebu niambie, kama ni wewe ungefanya nini katika hili?