Mtu mzima, tena mwenye heshima zake,
Alikuwa na rafiki yake wa karibu. Na aliisaidia sana familia hii kutatua matatizo mazito waliyokuwa nayo. Siku moja wakamchukua huyu mtu mpaka kwao. Mke wa mwenye nyumba akamuomba namba huyu jamaa. Siku ya siku mwenye mke kasafiri, huku nyuma siku moja mkewe akakutana na huyu family friend. Usiku wake mke akampigia jamaa saa tano za usiku. wakapiga stori. Alfajiri akampigia kumwamsha. Jioni akampigia tena, alfajiri tena, ........ utani ukaingia. Jamaa akatahadharisha risk ya utani, mama akasema wala haina shida. kesho yake mama huyu akamkopa jamaa hela. siku zikaenda. Jamaa akajikuta amenaswa na mtego wa mke wa mtu. Akaitwa kama mara tatu na huyu mama jamaa roho ikawa inasita akakataa. Kila akiitwa jamaa anakwepa.
Siku moja jamaa akapokea sms kutoka kwa mume wa huyu jamaa kuonyesha kuwa jamaa kagundua mchezo. Jamaa hana hamu tena na anachanganyikiwa kupita maelezo. Dhamiri yake inamtesa kwa sababu hajawahi kukutana na huyu mwanamke japo walichat then akakwepa. Inaonekana kuna msg jamaa kazinotice, sasa kimenuka.
Alikuwa na rafiki yake wa karibu. Na aliisaidia sana familia hii kutatua matatizo mazito waliyokuwa nayo. Siku moja wakamchukua huyu mtu mpaka kwao. Mke wa mwenye nyumba akamuomba namba huyu jamaa. Siku ya siku mwenye mke kasafiri, huku nyuma siku moja mkewe akakutana na huyu family friend. Usiku wake mke akampigia jamaa saa tano za usiku. wakapiga stori. Alfajiri akampigia kumwamsha. Jioni akampigia tena, alfajiri tena, ........ utani ukaingia. Jamaa akatahadharisha risk ya utani, mama akasema wala haina shida. kesho yake mama huyu akamkopa jamaa hela. siku zikaenda. Jamaa akajikuta amenaswa na mtego wa mke wa mtu. Akaitwa kama mara tatu na huyu mama jamaa roho ikawa inasita akakataa. Kila akiitwa jamaa anakwepa.
Siku moja jamaa akapokea sms kutoka kwa mume wa huyu jamaa kuonyesha kuwa jamaa kagundua mchezo. Jamaa hana hamu tena na anachanganyikiwa kupita maelezo. Dhamiri yake inamtesa kwa sababu hajawahi kukutana na huyu mwanamke japo walichat then akakwepa. Inaonekana kuna msg jamaa kazinotice, sasa kimenuka.