anatamani afanye maamuzi magumu

what do u mean by kuku wa kizungu huyo mumewe hataki afanye biashara nikisema anataka awe mama wa nyumbani cjui kama mnanielewa abaki tu home
 
endeleeni basi kutoa ushauri

mi nataka nijue kama wewe upo kwe ndoa koz ni rahisi sana kulaumu ka upo nje..halafu inakuwaje mtoto hadi miaka mitatu na kindergaten bado anajin..yea hilo ni tatizo analoonyesha huyo mwanamke hadi jamaa kapoteza imani..mwambia rafiki yako ndoa siyo rahisi ka anavyofikilia asidhan huko nje ni kuzuri tatizo hajajua jinsi ya kudeal na mme wake labda kwakuwa aliwahi kuolewa na inaonyesha mmewe ni mkubwa kwake..akomae tu jamaa angekuwa malaya sawa kama swala ni kujiendeleza nadhan akija na form za chuo tayari jamaa itabd aelewe tu...ps au ushamtafutia kajamaa ka nje ndo unamtafutia sababu ya kuondoka...maana nahofia imekuwaje katika wooote akuchague weye ka rafiki#mtazamo tu
 
wewe nadhani ndo haujui ndoa ilivyo wala makuzi ya watoto huwa saa nyingine michezo ikiwazidia wanaji*** yule ni rafiki yangu cjamtupa ingawa namshauri kila leo angalie future yake iko wapi
 
Tatizo ni dogo si lakumwacha mume hilo kikubwa ni kukaa na kuzungumza, je akiondoka ikitokea siku amepata mwanaume wa design ileile itakuaje maana umri wake sidhani kama ataishi bila kuwa na mwanaume mpaka uzeeni?matokeo yake atabaki na majuto na kuanza kusema bora ningebaki na wa kwanza. Hayo kweli ni maamuzi magumu isije ikafikia akawa anabadili partner kila baada ya miezi kadhaa na kubaki kuwalaumu wanaume kama viumbe wabaya kumbe tatizo ni namna ya kutafuta perfect match.
 
kweli ndoa ngumu, hilo tu mtu anataka kuvunja ndo?

Kweli likitokea jambo gumu ataweza kuvumilia au kukaa chini na mumewe kulisolve?

samahan mtoa mada kama vile na wewe unamshauri avunje ndoa yake, atakuja kujuta atakapo kuja kutana na matatitizo yasiyozungumzika kwa mwanaume mwingine atakaemwoa.
 
Hivi mwanaume anapomkatalia mke wake kujiendeleza kimaisha na kutaka akae tu nyumbani ni akili au matope??raha ya maisha ya ndoa ni kushirikiana na kusaidiana! Mwanaume anayetaka mke wake awe mama wa nyumbani ni yule asiyejiamini anataka amcontroll mke kama robot!
Mwambie huyo rafiki yako afanye jitihada zake mwenyewe za kutafuta kazi, kufanya biashara au kujiendeleza kielimu! Maisha ya kumtegemea mwanaume kwa kila kitu yalishapitwa na wakati!
 
Angalia sana jinsi utakavyo convey message yako ya ushauri! Maana naona kama upo biased .......ukifanikiwa kumuondoa kwa mumewe........down the line mambo yakamwendea kombo ......jua wewe ndo utabeba lawama zote.
Kwa ninavyomjua huyo mwanaume ni dikteta wa maamuzi wala hashauriki
 
cna kusudi la kumuondoa kwa mumewe isipokuwa mazingira yanambidi mumewe anamcontrol zaidi ya robot kama purple alivyosema kiukweli labda ckuweza kuelezea kila kitu labda angekua Jf angeweza kutoa picha halisi just imagine five years amekua akisubiri Neema ya kujiendeleza akidhani msimamo wa mumewe utabadilika lakini ndo kaushikilia bango hamna kufanya chochote utabaki nyumbani till the right time
 
avumilie tu ndoa ndoano, pia uwezi kutoa maamuzi ikiwa maelezo hayajakamilika na ujapata mlolongo mzima wa maisha yao unaweza kukuta uyo mume nae anayake yanamsumbua ambayo anaogopa kukabiliana nayo.
 
Akimbie haraka sana,tena yeye na mwanae!still ni mdogo anatakiwa abaki naye hadi atapofika 18 ndo baba anawezapewa huyo mtoto,huyo mumewe ni si muungwana kwanin asimheshimu mkwe wake?that rafik yako aangalie future yake na mwanae,akijbweteka hapo afu huyo kdume akifa nan ataemlea mwanae?mwambie aachane na issues za kinyonge atoke akatafute kazi haraka!muda haumsubiri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom