CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 930
Wakuu anahitajika engineer kwa ajiri ya ujenzi wa nyumba(STOREYED BUILDING)ukonga Dar.
Awe na uzoefu wa kutosha,CV ni muhimu.
Aweze kuchora ramani nzuri kwa ajiri ya luxuriously house.
Awe na vifaa.
Sifa ya nyumba inayotakiwa kujengwa.
1.Bed rooms(5+1master+1guest=7rooms)
2.Bathroom (6)
3.Dressing (2)
4.Loung (2)
5.Kitchen (2)
6.Dining (1)
7.Study (1)
8.Store (1)
9.Gym
10.Garden
11.Garage/Parking
12.Guard room
13.Water-mains supply
14.Electricity
15.Air condition
16.Fence
Kwa aliyetayari anipe gharama za ujenzi wa nyumba hii kuanzia materials mpaka fundi.
Kisha tutaonana ili nijue gharama ya material ni bei gani na gharama ya engineer ni bei gani.
Ntaanza project hii mwisho wa mwezi november mwaka huu inshaallah na nnataka iwe imekamilika within six months maana nshachoka kuishi nyumba za kupanga.
Kwa aliyetayari anicheki kwa email hii(herpologialcenter@yahoo.com)
Nawatakia kila la kheri na M/mungu awape moyo wa kuhesabiwa hapo nyumbani.
Awe na uzoefu wa kutosha,CV ni muhimu.
Aweze kuchora ramani nzuri kwa ajiri ya luxuriously house.
Awe na vifaa.
Sifa ya nyumba inayotakiwa kujengwa.
1.Bed rooms(5+1master+1guest=7rooms)
2.Bathroom (6)
3.Dressing (2)
4.Loung (2)
5.Kitchen (2)
6.Dining (1)
7.Study (1)
8.Store (1)
9.Gym
10.Garden
11.Garage/Parking
12.Guard room
13.Water-mains supply
14.Electricity
15.Air condition
16.Fence
Kwa aliyetayari anipe gharama za ujenzi wa nyumba hii kuanzia materials mpaka fundi.
Kisha tutaonana ili nijue gharama ya material ni bei gani na gharama ya engineer ni bei gani.
Ntaanza project hii mwisho wa mwezi november mwaka huu inshaallah na nnataka iwe imekamilika within six months maana nshachoka kuishi nyumba za kupanga.
Kwa aliyetayari anicheki kwa email hii(herpologialcenter@yahoo.com)
Nawatakia kila la kheri na M/mungu awape moyo wa kuhesabiwa hapo nyumbani.