Anataka to do kabla ya ndoa.

Landala

JF-Expert Member
Dec 24, 2010
997
473
Ndugu wana jf,kuna rafiki yangu ni mwanaume ana mchumba wake na ameisha mtambulisha kwao na wazazi wa pande zote wanajua uchumba wao,jamaa na mchumba wake wote ni walokole na wamekubaliana wasi do mpaka wawe wamefunga ndoa,siku za karibuni demu ameanza kumshawishi jamaa eti wavunje amri ya 6 kabla ya ndoa.jamaa anaomba ushauri wenu wana jf.
 
Asijaribu ku-do kabla ya ndoa ila binti aking'ang'ania wewe niunganishe na huyo bi harusi nilale naye kabla ya harusi,hii ni ktk kumsaidia bw harusi asitende dhambi kulingana na imani yake.
 
Huyo rafiki yako Imani yake haba sana,kama ameokoka na anamwamini Mungu na najua makatazo yote likiwemo na hilo anauliza nini? anyway yeye mwenyewe ana msimamo gani? Kwani mchumba wake ana haraka gani wakati watafanya hayo mambo mpaka wakinai wakioana.

Halafu muulize siku nyingine akishawishiwa kuiba atakuuliza umpe ushauri? Msimamo wake ni upi kuhusu imani yake
 
hayo mambo ya kizamani mwambie azamishe kwanza. Atogongewa huyu maana demu akianza kuililia ni hatari
 
...dhambi zote zitasamehewa isipokuwa kumkufuru roho mtakatifu.

Amemuuliza binti sababu za kukiuka kile walichokubaliana awali?

Ampe tu labda mwanadada kasikia tetesi kuwa jamaa hajiwezi.
"shake well before use"
 
mhm....ajivibhari tuu kwani tatizo lipo wapi?? sii atamuoa tuu ao anze kupata mautamu mapema
 
Yeye msimamo wake ni kusubiri hadi ndoa,ameomba ushauri ili apate mwanga zaidi kuhusu tatizo linalomkabili.Yeye amesema anaendelea kufunga na kuomba ili huyo mchumba wake aachane na mawazo hayo mabaya.
 
bibie anaonekana ni mtaalamu wa hayo mambo na labda alishampiga fix jamaa kwamba yeye ni bikra, so anataka kuua soo kabla ya harusi
 
au demu kagundua jamaa alikuwa bwabwa nini kabla hajaokoka? anyway, it looks like anataka kupima performance katika mambo ya 'kufikishana' ili kama vipi asepe mapema
 
Huyo anahitaji muhogo, kama muhogo unafiti sawa sawa ndoa haina matatizo, lakini ndoa bila muhogo haiwezekani. na ndio maana binti ameshtukia inshu mapema.
Anaona watu wasije fanya sherehe kuubwa! bahada ya muda mtu anarudi na mabegi yake nyumbani kuulizwa "Jamaa shughuli haiwezi" Watu wote watakushangaa!
Binti mimi namuunga mkono ni lazima uyatesti maji kabla ya kuyaingia! Hata bibi yetu HAWA NAE ALISHTUKIA INSHU KWA BABU YETU ADAMU, yeye ndio alianza kuomba gemu mzee Adamu akaingia laini.
 
...dhambi zote zitasamehewa isipokuwa kumkufuru roho mtakatifu.

Amemuuliza binti sababu za kukiuka kile walichokubaliana awali?

Ampe tu labda mwanadada kasikia tetesi kuwa jamaa hajiwezi.
"shake well before use"

Ha ahaa haaaa..jamaa atakua anamatatizo either dushelele yake haiamshi gari!
 
mtoto embe wembe mpee!! sasa jamaa anabana nini?
kama hamuamini anamuolea nini,ye abanjuke tu kama hawezi,
kitaani watakula goma hilo..
 
Ampe mara moja. Kama wameokoka ni dhahiri wanaijua vyema bible. Ombeni nanyi mtapewa, bisheni hodi nanyi mtafunguliwa. Najua kuna both advantage na disadvantage but ampe. Ni vyema kupimisha suruali au kiatu b4 hujanunua. Ukinunua then kikakubana baadae utafanyaje? Ampe na kama ni wewe mpe kitu yake.
 
Labda demu kapigwa mimba na msela so anataka amwangushie zigo kabla mambo hayajaharibika, Hivi walokole bado wapo nchini aise nimeshangaa sana
 
Back
Top Bottom