Anataka nyumba yake anadai simpendi

Neyl naomba nifaham kabila lako kabla cjakushauri.. Hata kwa PM..
 
mwambie asikuzingue yeye sie aliyekupa nyumba, tena mwambie ashukuru hujampeleka ustawi wa jamii
 
aisee,hakuna kitu napenda kama kuwa na watoto mapacha. Namuomba Mungu kila siku i wish kuja kuwapata.

njoo oa kwetu, baba angu alizaliwa mapacha nayeye akazaa mapacha me nina pacha wangu wa kiume na wadogo zetu mapacha
 
habari,niliachwa na mpnz wangu nikajitahid kummbembeleza for good 5months nilpoona pozi zimezid nikaenda kwa wazazi wake maana tulifunga ndoa ya kimila mwisho wa siku familia yake ikanipa nyumba na pesa kidogo kwa ajili ya kutunza watoto maana nimezaa nae mapacha watatu basi nikaendelea na maisha na wanangu wiki kadhaa zilizopita nilikutana na my x town akastuka kuniona toka hapo amekuwa akinisumbua nirudshe nyumba na hela za wazaz wake et sikumpenda ndio maana nimependeza after ye kuniacha

Huyo bado ni mmewe kwa maelezo yako inaonyesha bado ndoa yenu haijavunjika.
Hata hiyo nyumba unayoisema si umepewa na wakwe zako? Kiukweli au kisheria bado we ni mke wa mtu na hutakaa ukaolewa tena ila kama we ni mzaramu sitashangaa.
Tambua kuna ndoa za aina nne zinazotambuliwa kisheria.
1.Kiisilamu, 2.kikristo, 3.kimila 4.kiserikali


 
he is not my husband anymore, mimi ni mmasai ndoa tuliyofunga ni kimila yan alitoa mahari kwetu nikakabidhiwa kwao na mama ake akanivisha chuma flan yan siruhusiwi kuwa na mwanaume mwingne mpaka wazee wanivue hiyo chuma after yeye kunikata tukawekwa kikao cha familia ila yeye aling'ang'ana hanitaki hanipendi tena ndipo wazazi wake wakanivua chuma na kuvunja rasmi ndoa yetu na hyo nyumba walinpa cause nina watoto watatu sasa ningeishi nao wapi?
 
me ni mmasai kwa mama mmbulu and my x was mmasai pure


nawaonea huruma watoto... Wanaandaliwa kuja lisha Ng'ombe.. Ndo maana wazazi wamekung'ang'ania.. Pole sana.. If i were u..!?
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom