Anataka nyoka

Digaller

JF-Expert Member
Oct 20, 2009
745
427
Wadau kuna msichana ambaye alikuwa wangu kipenzi tukiwa secondary na sasa imepita miaka 3 toka tumeet kwa last time. Juzi Juz tu nimekutana nae na kubadilishana namba na usiku wa Jana kanipigia usiku anasema kamiss sana Nyoka na anataka tena.

Je nimpe bt mimi nimeshavuta jiko.
icon12.png
icon12.png
icon12.png
icon12.png
 
we tulia na mkeo utazoa ugonjwa tu
Wadau kuna msichana ambaye alikuwa wangu kipenzi tukiwa secondary na sasa imepita miaka 3 toka tumeet kwa last time. Juzi Juz tu nimekutana nae na kubadilishana namba na usiku wa Jana kanipigia usiku anasema kamiss sana Nyoka na anataka tena.

Je nimpe bt mimi nimeshavuta jiko.
icon12.png
icon12.png
icon12.png
icon12.png
 
Wadau kuna msichana ambaye alikuwa wangu kipenzi tukiwa secondary na sasa imepita miaka 3 toka tumeet kwa last time. Juzi Juz tu nimekutana nae na kubadilishana namba na usiku wa Jana kanipigia usiku anasema kamiss sana Nyoka na anataka tena.

Je nimpe bt mimi nimeshavuta jiko.
icon12.png
icon12.png
icon12.png
icon12.png
Hukumwambia kwamba umeshaoa...hiyo ndiyo shida....aidha kama ulimwambia ulipitia namna ya kumkejeli mkeo, thats what i quess..

Kama ungesimama confidently na kumwambia ninaishi na sweetheart mke wangu mpendwa and so so, unadhani bado angekuwa na hamu na wewe?

Lakini pia kabla ya hiyo juzi kukwambia hivyo ni kwamba ulikuwa na mawasiliano nae na naamini ulijaribu hata kuomba...!
Mkuu, kama unampenda mkeo, na kama hutaki kudhalilisha familia yako weka wazi kuwa huwezi kwa sasa.

Shida yako ni kwamba unajisikia fahari kuambiwa hivyo na huyo dada,kitu ambacho chaweza kukupa hasara kubwa, ukajuta maisha yote!
 
Hukumwambia kwamba umeshaoa...hiyo ndiyo shida....aidha kama ulimwambia ulipitia namna ya kumkejeli mkeo, thats what i quess..

Kama ungesimama confidently na kumwambia ninaishi na sweetheart mke wangu mpendwa and so so, unadhani bado angekuwa na hamu na wewe?

Lakini pia kabla ya hiyo juzi kukwambia hivyo ni kwamba ulikuwa na mawasiliano nae na naamini ulijaribu hata kuomba...!
Mkuu, kama unampenda mkeo, na kama hutaki kudhalilisha familia yako weka wazi kuwa huwezi kwa sasa.

Shida yako ni kwamba unajisikia fahari kuambiwa hivyo na huyo dada,kitu ambacho chaweza kukupa hasara kubwa, ukajuta maisha yote!
:amen::amen::amen::amen:
 
:help::help::help:
Kawa king'ang'anizi sana hadi jinsi ya kumkimbia nashindwa na nyumbani anapajua. Ila mamaaa yupo UG.
 
Jibu unalo halafu hutaki kuambia kwenye mtihani. Unachungulia/chabo kwa wengine. Ngoja upwe kasa ndio utajua matokeo yakitoka.

Kimbia zinaaa
 
:help::help::help:
Kawa king'ang'anizi sana hadi jinsi ya kumkimbia nashindwa na nyumbani anapajua. Ila mamaaa yupo UG.

Ni lazima ulimwonyesha hapo nyumbani. Ila jitahidi kwani ukianza halafu ukampeleka na nyumbani ujue maza house atasikia tu hata kama yuko nje.

Tafadhali jaribu kuzuia hiyo simu (ulizia kwa ma IT specialists) na akifika nyumbani kwako usimkaribishe ndani hata kidogo, simama mlangoni umpotezee.

TANZANIA BILA YA UKIMWI INAWEZEKANA.
 
kama we ni mzinzi au mwanachama wa ile chama
kubwa ya infe. we mpe tu huyo nyoka ila kama sio
mtolee nje tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom