Habari wana Jf,
Mwenzenu nilikuwa na boyfriend, uhusiano wetu ulidumu kama mwaka mmoja hivi, baadae akaniambia tuyaweke mapenzi pembeni na tuwe marafiki wa kawaida tu, kwa kuwa nilimpenda sana sikukubaliana na hilo ombi lake, akazidi kusisitiza kwamba lazima tuwe marafiki , nilimbembeleza sana lakini hakubadili msimamo wake, sikuweza kusitisha mawasiliano na yeye, tumeendelea kuwasiliana kwa zaidi ya miezi 6 bila ya kuwa na mahusiano, sasa jana kanitumia message ati anataka kuja kunitembelea nyumbani na atakaa week nzima, na pia akasema kuanzia hiyo jana simu zangu atakuwa apokei ila atakuwa anapiga yeye tu, Jamani mwenzenu sielewi anakuja kutafuta nini nyumbani kwangu na kwa nini kaniwekea masharti nisimpigie simu
Mwenzenu nilikuwa na boyfriend, uhusiano wetu ulidumu kama mwaka mmoja hivi, baadae akaniambia tuyaweke mapenzi pembeni na tuwe marafiki wa kawaida tu, kwa kuwa nilimpenda sana sikukubaliana na hilo ombi lake, akazidi kusisitiza kwamba lazima tuwe marafiki , nilimbembeleza sana lakini hakubadili msimamo wake, sikuweza kusitisha mawasiliano na yeye, tumeendelea kuwasiliana kwa zaidi ya miezi 6 bila ya kuwa na mahusiano, sasa jana kanitumia message ati anataka kuja kunitembelea nyumbani na atakaa week nzima, na pia akasema kuanzia hiyo jana simu zangu atakuwa apokei ila atakuwa anapiga yeye tu, Jamani mwenzenu sielewi anakuja kutafuta nini nyumbani kwangu na kwa nini kaniwekea masharti nisimpigie simu