Anataka nimfanyie!!

Hivi inaingiaje akilini mwanaume mzima una mke na mtoto unatamani nawe 'ubomolewe' mlango wa uwani? uwendawazimu au tamaa? aaghhh.....kwa mujibu wa maandiko matakatifu. Itakapokaribia kiyama, wanaume watasodomwa sana na wanawake watagomorana, makanisa na misikiti itakuwa ni kumbi za burudani. kwa hali tuliyonayo sasa, kiyama tayari kishaingia
 
asalaamu!naandika sredi hii nikiwa na mtetemo wa mkono!naomba tumsaidie tafadhali!ni rafiki yangu sana kitambo sasa,tulisoma wote olevel na baadaye chuoni miaka adhaa iliyopita,huwa tunawasiliana na kutembeleana kwani tunakaa mikoa tofauti!ni kijana wa miaka 29,ameoa na baba wa mtoto mmoja!amenieleza kuwa hafurahii kabisa tendo la ndoa na mkewe na sasa anataka afanyiwe yeye,ameniteua mimi kuwa wake wa kwanza katika dhamira yake hiyo na hisia za ushoga zimemshinda kwani amejizuia mwaka wa 2 sasa nahatorudi nyuma hata kama nikikataa!!
Wadau,mimi siwezi asilani na sitaki aende huko,roho yaniuma kupita maelezo,naombeni mawazo nimsaidiaje?

Kwa hiyo unataka kumbikiri sio?
 
ndo maana wanasema idadi ya wanaume ni ndogo kuliko wanawake, kumbe wanaume wenyewe wanataka ku-kameruniwa(baadhi ya wanaume jamani msije nishambulia.......)

mwambie akawaone wataalamu wa saikojojia upesi sana kabla hajagawa.....
 
ndo maana wanasema idadi ya wanaume ni ndogo kuliko wanawake, kumbe wanaume wenyewe wanataka ku-kameruniwa(baadhi ya wanaume jamani msije nishambulia.......)

mwambie akawaone wataalamu wa saikojojia upesi sana kabla hajagawa.....

ushauri mzuri ndugu yangu,thanx
 
funga na kuomba kwa ajil yake! Kemea hlo ni pepo! Tena anahtaj ushaur nasaha, tafuta m2 mwenye fan ya kushaur uende nae kwake! Ni mkoa upi il km vp nkakusaidie kumpa canceling coz nmepata course hyo Tumain unvr,
Makumira. Am ril serious.

Ni kweli shetani yuko kazini kwenye hiyo familia ikimtumia huyo ndugu - Jibu ni Yesu ..........hapo kwenye red - please hebu nidokezee kidogo kuhusu hiyo course - ni muda gani inachukua.... kiasi gani..... ni full time or part time... etc. NIMEITAFUTA MUDA MREFU ... NAONA LEO NI MUUJIZA KUONA UMEANDIKA HIVI - samahani kama nimekwenda off-topic
 
Kama kweli unamhurumia huyo rafiki yako, tafuta Mtalaam wa Saikolojia umsmulie tatizo la huyo jamaa yako ukiwa pekee yako, baada ya hapo, mpeleke akapate ushauri, usimwache kwenda pekee yake maana anaweza asiende na ukijakushtuka ukakuta alishaanza mchezo huo mchafu.
 
Back
Top Bottom