acha mwili useme!
Nina maana kuwa mume au mke sio kwasababu una viungo vya uzazi vya kiume au kike,ni ZAIDI YA HAPO!
asalaamu!naandika sredi hii nikiwa na mtetemo wa mkono!naomba tumsaidie tafadhali!ni rafiki yangu sana kitambo sasa,tulisoma wote olevel na baadaye chuoni miaka adhaa iliyopita,huwa tunawasiliana na kutembeleana kwani tunakaa mikoa tofauti!ni kijana wa miaka 29,ameoa na baba wa mtoto mmoja!amenieleza kuwa hafurahii kabisa tendo la ndoa na mkewe na sasa anataka afanyiwe yeye,ameniteua mimi kuwa wake wa kwanza katika dhamira yake hiyo na hisia za ushoga zimemshinda kwani amejizuia mwaka wa 2 sasa nahatorudi nyuma hata kama nikikataa!!
Wadau,mimi siwezi asilani na sitaki aende huko,roho yaniuma kupita maelezo,naombeni mawazo nimsaidiaje?
ndo maana wanasema idadi ya wanaume ni ndogo kuliko wanawake, kumbe wanaume wenyewe wanataka ku-kameruniwa(baadhi ya wanaume jamani msije nishambulia.......)
mwambie akawaone wataalamu wa saikojojia upesi sana kabla hajagawa.....
mh,ndio nani na ananini huyo?
funga na kuomba kwa ajil yake! Kemea hlo ni pepo! Tena anahtaj ushaur nasaha, tafuta m2 mwenye fan ya kushaur uende nae kwake! Ni mkoa upi il km vp nkakusaidie kumpa canceling coz nmepata course hyo Tumain unvr,
Makumira. Am ril serious.
bado pia ni msamiati,unachojua wewe mimi sio lazima nijue,funguka zaidi
kongosho,huyu jamaa hajawahi kuwa hivyo!