Masaki
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 3,463
- 752
Mbadilikie...akikuuliza mbona hujanipigia unamwuliza mbona WEWE hujanipigia?Watu wa aina hiyo wanaboa...ila wengine ni tabia tu haina maana wewe sio muhimu kwake!Kama unaweza kaa kimya kama siku mbili au hata tatu uone kama hatakutafuta!
Wewe unatka mwenzako aaachwe. Wanaume wenyewe tuko wachache mjini, shauri yake!