MONTESQUIEU
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 847
- 80
- Thread starter
- #21
Then kama wewe wa kike nadhani kwahitajika more explanations za mambo kama;
- muda gani mmefahamiana
- wakati mnafahamiana (ingawa umeseama ana mapesa) alikuwa na hali gani kiuchumi
- malezi yake (background)..
- tabia yake in general. Ana tabia ya kupigia watu wengine? marafiki zake? esp wa kike?
- does he cater for other services ama pia huduma nyingine (e.g. mkienda out) ni wewe unagharamia!
-Muda mrerefu kama 4 years hivi
- Alikuwa wakawaida but now mh kaongeza kipato kidogo
-Anatoka familia bora but zaid kalelewa na mama baba alitangulia
- Ni mtu wa watu,Hasira kidogo, mlalamishi kiasi na fighter
- Huwa analipa mara nyingi .