Anataka kuzaa naye tu mtoto hatamuhusu baba.

Akithubutu tu amekwisha, nae anamtamani huyo mrembo tu hana lolote kama baba anaejali familia yake hakuwa hata na sababu ya kujiuliza mara mbili. Na huyo mrembo mwizi tu pia anataka kuharibu hiyo ndoa ya huyo kaka, Miaka 29 amekosa mwanaume single wa kuzaa nae? mbona wamejaa?
 
Huyu anatafuta kuwa nyumba ndogo kwa nguvu. Keshasema anampenda alafu ategemee wakishatiana mimba ndio nyege zitaisha??? Si ndio itakuwa tena na tena... mtoto wa pili na wa tatu???

Pili unadhani ni rahisi huyo kijana kuto connect na mtoto atakayezaliwa. Hapo piga ua mkewe atajua tu kwani huwezi ficha damu yako unless uwe hamnazo.

Tatu ataamini vipi kuwa huyo mwanamke hana nia ya kuvuruga ndoa ya yake... kwa maana kuwa ata behave kama other woman au atakuwa anamsumbua the real wife? Mapenzi hayajaribiwi jameni...

Huyo mwanamke ni mwizi tu... kama domo lilikuwa zito kutamka kuwa anampenda jamaa wakati alimjua since akiwa single...leo huo wepesi wa kutamka maneno mazito hayo ameutoa wapi...? Kaona amedoda anahaha... ukute keshaweka mitego kwa wanaume kadhaa... maradhi hayo...

points tupu.mume wa mtu amtamani mpaka wazae jamani. huyo baba ajiandae tu kusumbuliwa kattoto kakizaliwa. wakishindwa kujizuia bora waishie kula good time tu.
 
mie hapo hata sioni cha kufikiria huyo rafikio ana mke wake, kama anataka kudonate mimba afanye hivo kwa mkewe, huwez kuzaa na mtu halaf eti upotezee kama vile hakikutokea kitu mtoto ni dam yake na kwa namna yeyote itasababisha mahusiano mapya ya kimapenz kati ya huyo rafikio na mrembo wake. mwambie aheshimu ndoa yake na amuheshim mkewe na family yake. huyo the so-called mrembo nae gube gube tu, elimu yake haijamsaidia na watu wa aina yake ndio wanaoleta usemi wa adui wa mwanamke ni mwanamke uwe kweli, anataka kuharb ndoa mwenzie hvhv,,
 
wakuu nyie hamja msoma manuu huyu ni yule mfanyakazi mwenzie waliendaga naye china sijui dubi wakalala humba kimoja. sasa bint ampeda anataka kuzaa naye hii kusema ni rafiki yake ni gia ya fix tu.

ushauri wangu mwl mimi ni kwamba ma dearest kama ulivyoweza kulala na huyu binti chumba kimoja safarini pasi kufanya matusi mpaka mkarudi tena tz basi mpotezee hivyo hivyo.
 
Last edited by a moderator:
Hivi mtu anaanzaje hata kusema ngoja nikafikirie? Yaani tayari hana uamuzi wake binafsi katika jambo lilio wazi hivi?

Anyways, huyo jamaa yako mwambie aingie ngomani aone kazi. Kuna bi mkubwa mmoja naye alizaa na kaka mmoja kwa visingizio tele kuwa asiwe na shaka yeye ni mtu mzima na hatashindwa kulea huyo mtoto. Thubuthu....sasa hivi ndio anatafuta njia zote za kuharibu ndoa ya huyo bwana (walizaa kabla ya ndoa ya kijana) kisa mtoto!
 
Huyu anatafuta kuwa nyumba ndogo kwa nguvu. Keshasema anampenda alafu ategemee wakishatiana mimba ndio nyege zitaisha??? Si ndio itakuwa tena na tena... mtoto wa pili na wa tatu???

Pili unadhani ni rahisi huyo kijana kuto connect na mtoto atakayezaliwa. Hapo piga ua mkewe atajua tu kwani huwezi ficha damu yako unless uwe hamnazo.

Tatu ataamini vipi kuwa huyo mwanamke hana nia ya kuvuruga ndoa ya yake... kwa maana kuwa ata behave kama other woman au atakuwa anamsumbua the real wife? Mapenzi hayajaribiwi jameni...

Huyo mwanamke ni mwizi tu... kama domo lilikuwa zito kutamka kuwa anampenda jamaa wakati alimjua since akiwa single...leo huo wepesi wa kutamka maneno mazito hayo ameutoa wapi...? Kaona amedoda anahaha... ukute keshaweka mitego kwa wanaume kadhaa... maradhi hayo...

Si tayari kapata masters na karudi toka UK ana gari mbili na kazi yenye kipato, kwa hiyo kawa wa kisasa zaidi.. anahitaji kuzalishwa tu.. halafu mtoto asikuhusu... yaani anajidai ana mcare sana huyu jamaa.... ngoja amzalishe aone tifu lake.....
 
Well said mkuu nami nilitaka niseme kitu cha namna hii but inatosha asante kwa kuniwakilisha.

Huyu anatafuta kuwa nyumba ndogo kwa nguvu. Keshasema anampenda alafu ategemee wakishatiana mimba ndio nyege zitaisha??? Si ndio itakuwa tena na tena... mtoto wa pili na wa tatu???

Pili unadhani ni rahisi huyo kijana kuto connect na mtoto atakayezaliwa. Hapo piga ua mkewe atajua tu kwani huwezi ficha damu yako unless uwe hamnazo.


Tatu ataamini vipi kuwa huyo mwanamke hana nia ya kuvuruga ndoa ya yake... kwa maana kuwa ata behave kama other woman au atakuwa anamsumbua the real wife? Mapenzi hayajaribiwi jameni...

Huyo mwanamke ni mwizi tu... kama domo lilikuwa zito kutamka kuwa anampenda jamaa wakati alimjua since akiwa single...leo huo wepesi wa kutamka maneno mazito hayo ameutoa wapi...? Kaona amedoda anahaha... ukute keshaweka mitego kwa wanaume kadhaa... maradhi hayo...
 
mwenzako akinyolewa tia maji. wadada mlioko humu mliolewa mjifunze kuwaombea waume zenu, wanajaribiwa sana na wadada,wake za watu, ili mradi kuhatarisha usalama wa ndoa.
 
Ndoa haijaribiwi,jambo dogo na utamu wa ngono wa mda mdogo na siku moja,utakuletea matatizo maisha yajo na vizazi vayko vyote vitakavyo fwata.mwambie asijaribu na asifikirie,
 
Yani imefika kipindi sasa mtu unawaza leo sijuhi mume wangu atakutana na gume gume gani. Ni kusali pamoja tena kwa sauti ili akumbuke maneno mlo muomba Mungu. "Eeh Mwenyezi Mungu mlinde mume/mke wangu na magume gume".

mwenzako akinyolewa tia maji. wadada mlioko humu mliolewa mjifunze kuwaombea waume zenu, wanajaribiwa sana na wadada,wake za watu, ili mradi kuhatarisha usalama wa ndoa.
 
Hivi mtu anaanzaje hata kusema ngoja nikafikirie? Yaani tayari hana uamuzi wake binafsi katika jambo lilio wazi hivi?

Anyways, huyo jamaa yako mwambie aingie ngomani aone kazi. Kuna bi mkubwa mmoja naye alizaa na kaka mmoja kwa visingizio tele kuwa asiwe na shaka yeye ni mtu mzima na hatashindwa kulea huyo mtoto. Thubuthu....sasa hivi ndio anatafuta njia zote za kuharibu ndoa ya huyo bwana (walizaa kabla ya ndoa ya kijana) kisa mtoto!

umeona eenh?
ndo shetan alivyo, anakupa ki-dought flan ivi, apo akiambiwa we dinya tu. jamaa ata zama mia mia
 
Huyu anatafuta kuwa nyumba ndogo kwa nguvu. Keshasema anampenda alafu ategemee wakishatiana mimba ndio nyege zitaisha??? Si ndio itakuwa tena na tena... mtoto wa pili na wa tatu???

Pili unadhani ni rahisi huyo kijana kuto connect na mtoto atakayezaliwa. Hapo piga ua mkewe atajua tu kwani huwezi ficha damu yako unless uwe hamnazo.

Tatu ataamini vipi kuwa huyo mwanamke hana nia ya kuvuruga ndoa ya yake... kwa maana kuwa ata behave kama other woman au atakuwa anamsumbua the real wife? Mapenzi hayajaribiwi jameni...

Huyo mwanamke ni mwizi tu... kama domo lilikuwa zito kutamka kuwa anampenda jamaa wakati alimjua since akiwa single...leo huo wepesi wa kutamka maneno mazito hayo ameutoa wapi...? Kaona amedoda anahaha... ukute keshaweka mitego kwa wanaume kadhaa... maradhi hayo...


Just what i thought. Ulichosema ni right kabisa.
 
Rafiki yangu mmoja jana tukiwa mahali alinipa kisa kinachohitaji mchango wa mawazo yako.
Kuna mrembo mmoja ambaye jamaa alijuana naye kupitia kaka yake(ie kaka wa huyu mrembo na huyu rafiki yangu walikuwa marafiki mpaka wakawa wanatembeleana nyumbani hapo ndo chanzo cha huyu mrembo kumjua huyu rafiki yangu.)Miaka kama 5 imepita bila yule jamaa kuonana na yule dada wa rafiki yake ambaye yeye alikuwa anamchukulia kama ni mdogo wake pia.
Juzi kati ghafla wakakutana Benk na yule mrembo wakaongea kidogo ikiwa ni pamoja na kubadilishana namba za simu.
Ikapita kama siku 4 mara simu ikaita kucheki ni yule mrembo wakaongea kikubwa yule mrembo akamuomba wakutane week end inayofuata.
Ikafika hiyo siku wakakutana wakaongea mengi sana na yule mrembo akatumia fursa hiyo kumweleza jamaa kwamba alikuwa hayupo nchini alienda Uingereza kuchukua Masters yake na ameshajenga nyumba yupo kwake ana gari 2.
Na ana pato zuri tu kwa mwezi.
Huyo Mrembo ndo ana miaka 29 sasa hivi.
Jamaa akafuraia mafanikio aliyofikia kwa kumpa hongera sana.
Yule binti akamwambia "Si nilichokuitia ila naomba usinifikirie vibaya kwani najua wewe ni rafiki mkubwa wa kaka yangu na ninajua una mke,Ninachoomba kwako ni nahitaji kuzaa na wewe kwani nimekuwa nikikupenda kwa mda mrefu sana ila niliogopa kukuambia mpaka ukaja kuoa ninachoomba kutoka kwako ni unipe mimba then mtoto atakaye zaliwa hasikuhusu kabisa kama una ogopa itakuletea shida kwa mkeo.
Na naomba sana usinifikirie vibaya kwani ni ukweli nakupenda sana na ukinikubalia nakuhaidi nitakupa zawadi nzuri sana"

Jamaa akamwambia nipe mda kidogo nifikirie then nitakupa jibu ndo jamaa kanitafuta jana kanipa kisa hiki.
Anaomba mchango wangu pamoja na wako juu ya hili.
Damu ya mtu haipote !!!!
 
fabricated story huhitaji akili sana kutambua haya uliyoeleza yanatokea kwenye muvi tu si katika maisha halisi.
 
Back
Top Bottom