Dijina40
JF-Expert Member
- May 17, 2010
- 727
- 242
kaka sinamahana mbaya hata kama angekuwa mdogo wako bado ningeumia kifikira zangu nilitegemea angetafuta m2 anaekaribia umr au wanaringana umri yan ingekuwa rahs hata yeye kuja kubadil mawazo na kuja kumuoa lakn huyu itakuwa vigumu kuja kubadil fikira
Kama kweli unaona tendo hilo sio jema, tafuta nafasi uongee na msichana huyo kama kaka yake umuambie mapemaaaa nia iliyoko sio ya kuolewa ila kugeuzwa mashine ya kufyatulia mtoto/watoto (maana hatujui atamzalisha wangapi). Kisha muache aamue mwenyewe kama anataka kugeuzwa incubator.