Anataka kusomea Ufamasia au Physiotherapy

specialist88

JF-Expert Member
Aug 31, 2014
1,141
617
Salam ndugu,
nina mdogo wangu alimaliza form four mwaka 2006,akapata matokeo yafuatayo:-

Civics-B,
Kisw-D,
English-D,
History -C,
Chem-B,
Bios-B,
Agriculture Science-C,
Geog-D
Math-F.


Alichaguliwa combination ya CBA yaani Chemistry,Biology and Agriculture Science.

Matokeo yake ya form six kwa mwaka 2009 yakawa kama ifuatavyo:-

Chem-E,
Bio-E,
Agr Sc-D,
Gs-S,
BAM-F.
Kwa matokeo hayo akàwa amepata Div 3:14


Dogo hakupenda matokeo,aliona kama Science hamkubali,akaamua kutafuta chuo akasoma BBA.
———★————★————

Sasahivi dogo anataka kurudi sayansi na anataka kusomea degree ya Physiotherapy au kusomea degree ya ufamasia....

Swali, kwa matokeo yake hapo juu,anaweza kupata admission kwa kozi hizo za Ufamasia au Physiotherapy?

Chuo gani wanaweza kumchukua kwa hapa Tz....

Natanguliza shukrani na karibuni kwa ushauri na msaada wakujenga.
 
Umesema etiiih Physiotherapy kumbe physics is there from term physio.
 
Physiotheraphy sio lazima awe na physics... Ni course ambyo anaweza kusoma...kwa Tz hyo course pale kcmc ipo ila sijui sasa kwa matokeo hayo kama watampokea..ajarbu
 
Aiseee jamaa anatakiwa hata awe na C ya physics o level afuu competition kubwa sana ya physiotherapy huwa wanachukua watuu wachache sana afuu kcmc tuu pharmacy nayoo physics muhimu hapoo diploma anaweza kubahatisha sio degree asahauuu
 
Jamani kuna mdogo wangu yupo comb ya CBG na anataka kuomba Bachelor of medical laboratory in science .
VP wa kuu anaweza kupata auu mpaka awe na Physics.?
 
Aiseee jamaa anatakiwa hata awe na C ya physics o level afuu competition kubwa sana ya physiotherapy huwa wanachukua watuu wachache sana afuu kcmc tuu pharmacy nayoo physics muhimu hapoo diploma anaweza kubahatisha sio degree asahauuu

Ok,nakuelewa...
 
tumeona matokeo yake
kwa upande wa physiotherapy ndugu yangu sikufichi kozi inayotolewa pale KCMC ile ni kozi ya muhimbili na wale wanafunzi waliopo pale ni wanafunzi wa muhimbili toka INSTITUTE OF ALLIED SCIENCES wanasoma diploma kaka kwa mwaka ulio maliza ni ngumu kupata nafasi coz nimesoma muhimbili na hali halisi ya pale naijua umekaa muda mrefu mtaa ni ngumu kupata nafasi. pia wanachukua watu wachache sana na mara nyingi wanachukua fresh from school,

kuhusu famasi kwa chuo cha serikali ni muhimbili pekee wanatoa tatizo ni physic hapo hukusoma hiyo ni ngoma nzito bado kwama mwaka jana wamechuka watu 11 tu kusoma diploma.

fanya utaratibu wa vyuo binafsi utaweza pata nafasi
 
tumeona matokeo yake
kwa upande wa physiotherapy ndugu yangu sikufichi kozi inayotolewa pale KCMC ile ni kozi ya muhimbili na wale wanafunzi waliopo pale ni wanafunzi wa muhimbili toka INSTITUTE OF ALLIED SCIENCES wanasoma diploma kaka kwa mwaka ulio maliza ni ngumu kupata nafasi coz nimesoma muhimbili na hali halisi ya pale naijua umekaa muda mrefu mtaa ni ngumu kupata nafasi. pia wanachukua watu wachache sana na mara nyingi wanachukua fresh from school,

kuhusu famasi kwa chuo cha serikali ni muhimbili pekee wanatoa tatizo ni physic hapo hukusoma hiyo ni ngoma nzito bado kwama mwaka jana wamechuka watu 11 tu kusoma diploma.

fanya utaratibu wa vyuo binafsi utaweza pata nafasi

Poa ndugu,nimekuelewa
 
Kwani wanaosoma Physiotherapy ndo wana husika na nini? Namaanisha akishamaliza hiyo kozi anaajiriwa kama nani?
 
Kwani wanaosoma Physiotherapy ndo wana husika na nini? Namaanisha akishamaliza hiyo kozi anaajiriwa kama nani?

Wanahusika na viungk vya miili ya binadamu kama vile kunyooshamikono iliyo kaa vibaya baada ya kutenguka na kadhalika
 
Wanahusika na viungk vya miili ya binadamu kama vile kunyooshamikono iliyo kaa vibaya baada ya kutenguka na kadhalika

Asante kwa ufafanuzi, vipi kuhusu ajira zinapatikana au ndo mpaka usote kwanza?

Mdogo wangu ana Biology B, Chemistry C, Mathe C na Physics D je anaweza kupata? Amemaliza form four mwaka jana
 
IPO vizuri na chuo kiruz kwa hiyo kitu ni kcmc sema mmnh kwa hiyo performance kwa ngaz ya degree watakuzengua ila kuna course nyingi tu za afya zinazolipa kama dental therapy na udaktari wenyewe lakini hata kwa dental therapy mkuu sikuhizi vyuo vingi wanachukua wanafunzi maximum 15 then umekaa home sanaaa mkuu ushauri ni kwamba hiyo BBA kama ulisomea degree kachue masters yake tu
 
Back
Top Bottom