Ambassador
JF-Expert Member
- Jun 2, 2008
- 933
- 75
Jamani eh, huyu dada kakorofishana na mpenzi wake kwa sababu wanazozijua wao (seems mshikaji kamcheat!). Mshikaji anajaribu kumbembeleza lakini mdada bado ana hasira na amemwambia amepata mpenzi mwingine. Huyu mdada kaniapproach ananiomba nimtumie sms za mapenzi na kumpigia simu wakati yuko na mpenzi wake ili amkomeshe. Kiukweli mimi sijifeel comfortable kufanya hivyo na nahisi kama huyu dada anataka kunitumia kwa interest zake. Nimemwambia naona ugumu kufanya hivyo kwa sababu sina feelings nae na hatujazoeana kihivyo. Matokeo yake dada kashea baadhi ya hasira alizo nazo kwangu. Nimfanyeje ili anielewe?