Sasa kama we mwanaume unaogopa nini chukua kazi afu mambo mengine yatafuata. Kama umempenda unamwambie anatakiwa aishi unavyotaka mböna kitaisha tu. Huyu oa na nakuhakishia kama unamsimamo kweli ataobey your principle, sharti jingine akiingia kwako mishahara mezani akikubali basi weka ndani.nimekuelewa lakini mimi ni mwanaume
aaah aaah ishu siyo kupiga mzigo au kutopiga!!Kama humpendi ntumie namba yake me nipige kazi.
Mh asante kwa mawazo mazuri, japo yanazid kunichanganya
kamata kwanza kazi saini mkataba, akitaka mapenz mwambie No. Hana la kukufanya ww tayar utakua na mkataba wako.
najiamini, tena siku zote naamini nimezaliwa ili niweze. Bado sijui lengo ni nin hapa
nimekusoma maskini jeuri, ningeshangaa kama ungetoa ushaur tofaut na huu.Hujiamini; hapa lengo liko wazi huhitajia maelezo ya ziada...........ukikubali ni kama umejivisha nira kwani uwez wa kukutoa kwenye hiyo kazi yaelekea pia anao......................halafu sioni chembe ya mapenzi kwenu nyote ; mpotezee achana naye jenga maisha yako.............kukutafutia kazi kitu gani bana!
Wana Jf habari zenu, kwanza natanguliza shukrani kwa wote wanaoleta na kuchangia mijadala yenye tija kwani imekuwa ikinijenga kila siku. Wadau nilikuwa na "Penpal friend" toka nikiwa form.... na yeye alikuwa form...., nakumbuka alijieleza vilivyo jinsi kwao walivyo "familia bora" nami sikumficha nilimweleza ufukara uliokuwa ukiniandama, urafiki uliendelea na "automatically" tukawa wapenzi kipindi nipo A level. Nilifanikiwa kuonana naye nikiwa "first year" , "First time" naonana naye aliniita kwao, ukweli niliouona ni kwamba maisha yao ni bora sana ukilinganisha na ya kwetu/kwangu. Kikubwa nilichoki-note toka kwake ilikuwa ni jeuri na dharau ambavyo vilinichosha kadri siku zilivyokwenda, kuna kipindi alikuwa anadiriki hata kunifokea, ndipo niliposema ya nini malumbano? Niliamua kukaa pembeni, nakumbuka nilibadilisha mpaka namba kuepuka usumbufu wake. Sasa hivi majuzi kafanikiwa kupata namba, kanitafuta na tumeonana. Sera aliyokuja nayo ni kuniwezesha kupata kazi kupitia kwa ndugu zake. Kinachonitatiza ni ujeuri na dharau zake, hivi nikifanikiwa kupata kazi kwa juhudi zake haiwezi kuwa mtego wa kuninasa? Na nikipata alafu nikamkataa hawezi kuleta matatizo? Naomba mawazo yenu kwani ajira nahiitaji ila mapenzi na yeye siyataki!
dah ngoja niedit post, mimi ni mwanaume jamanisafi sana unataka kuniambia na wewe toka umeachana nae mpk leo hauna bf uliekutana nae kwny kipind chote hcho? Alafu kuhusu uamuz kwan wewe bado unampenda au ndo kutokana na yeye akikusaidia utataka kumrudishia fadhila kutokana na yeye kukupa kazi? Hii inaonyesha mwanaume yoyeto atakae kupa kaz utampenda ndo nilivyo elewa mimi