BPM
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 2,760
- 573
Siyo saizi yangu kivipi? Ina maana anashughulikiwa na mwingine?
ina maaana utendaji wako uko chini ya kiwango ....
abcdef.. ina mengi si udhaniyo au ufanyayo
Siyo saizi yangu kivipi? Ina maana anashughulikiwa na mwingine?
Mkuu huwa natumia hadi lisaa na nusu.
Jamani nimetumia akili, nguvu, juhudi, jitihada, maarifa na kila kitu ili mradi tu afurahi; lakini sina hakika kama nimegonga mwamba au ni kwamba ameamua tu kuniumiza. Ndio kusema hanitaki? Au anayoyasema ni kweli!
Sasa nyumbani kimenuka, na hataki tena nile.
Hapa ameniambia nimtafutie nauli aende zake!
Kumpenda nampenda, nifanyeje?
Huwa anaanzisha vurumai hadi majirani wanasikia. Utawasikia majirani: "tayari wameshaanza huko", heheheeee kaaaazi kwelikweli, wananibeza majirani.
Lkn bado nampenda na yeye anaonekana kunipenda sana. nikichelewa kurudi nakuta hata chakula hajala anakua analia tu.
Jamani nimetumia akili, nguvu, juhudi, jitihada, maarifa na kila kitu ili mradi tu afurahi; lakini sina hakika kama nimegonga mwamba au ni kwamba ameamua tu kuniumiza. Ndio kusema hanitaki? Au anayoyasema ni kweli!
Sasa nyumbani kimenuka, na hataki tena nile.
Hapa ameniambia nimtafutie nauli aende zake!
Kumpenda nampenda, nifanyeje?
Halafu sio wewe ulianzisha hii thread? Acha kutopoteza muda wetu. Nyie ndio mnaoharibu hili jukwaa. nakuripoti kwa mods. Hii thread yako nyingine:
kwa kweli kwenye shuhuli anatoa ukelele wa hali ya juu. sasa majirani wamecharuka wanadai tuhame tunawakaraisha. nimemsihi mwenzi wangu apunguze lakini anadai hafanyi makusudi anapokaribia mshindo tu ndo huwa balaa. Nifanyeje mwenzenu na kesi tayari ipo kwa mjumbe majirani wamecharuka
https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/165352-mwenzi-wangu-anatoa-ukelele-majirani-wanadai-tunawasumbua-hawalali-eti-tuhame.html
Kwanza punguza u-kiritimba kwenye uwanja wa mapambano,
Pili punguza kitambi hicho,
Tatu inawezekana kusoma hujui na hata picha huoni ? huyo hukutaki achana nae! utaitwa king'ang'anizi ebo!
MKuu huyo anataka uende chumvini au ukandamize tigo.
Mkuu huyu anatupotezea muda wetu. Nimeshamripoti kwa Mods. Anatufanya sie wajinga kama yeye. Angalia thread yake nyingine then compare: https://www.jamiiforums.com/mahusia...wanadai-tunawasumbua-hawalali-eti-tuhame.html
hakupendi wala nini unajidanganya.............umeshindwa kumfikisha waachie wenzako wamfikishe
Suit yourself!
Usinitukane wewe mpumbavu. Unadhani wewe ndo mjuvi sana humu ndani sio?
Jamani nimetumia akili, nguvu, juhudi, jitihada, maarifa na kila kitu ili mradi tu afurahi; lakini sina hakika kama nimegonga mwamba au ni kwamba ameamua tu kuniumiza. Ndio kusema hanitaki? Au anayoyasema ni kweli! Sasa nyumbani kimenuka, na hataki tena nile. Hapa ameniambia nimtafutie nauli aende zake! Kumpenda nampenda, nifanyeje?
kwa kweli kwenye shuhuli anatoa ukelele wa hali ya juu. sasa majirani wamecharuka wanadai tuhame tunawakaraisha. nimemsihi mwenzi wangu apunguze lakini anadai hafanyi makusudi anapokaribia mshindo tu ndo huwa balaa. Nifanyeje mwenzenu na kesi tayari ipo kwa mjumbe majirani wamecharuka: https://www.jamiiforums.com/mahusia...wanadai-tunawasumbua-hawalali-eti-tuhame.html
Yea suit yourself. Una abuse forum hapa ahalafu unatufanya sie wajinga kama wewe. Ujinga wako na ukao nao. wewe ni moja wa wale ambao mmesababisha mpaka hili jukwaa limekuwa moderated kama ile la siasa: https://www.jamiiforums.com/mahusia...wanadai-tunawasumbua-hawalali-eti-tuhame.html
Mkuu una shida gani na mimi. Kwani tatizo liko wapi hapo. Ok, endelea utakavyo, siongei tena na wewe.
Jamani nimetumia akili, nguvu, juhudi, jitihada, maarifa na kila kitu ili mradi tu afurahi; lakini sina hakika kama nimegonga mwamba au ni kwamba ameamua tu kuniumiza. Ndio kusema hanitaki? Au anayoyasema ni kweli! Sasa nyumbani kimenuka, na hataki tena nile. Hapa ameniambia nimtafutie nauli aende zake! Kumpenda nampenda, nifanyeje?
kwa kweli kwenye shuhuli anatoa ukelele wa hali ya juu. sasa majirani wamecharuka wanadai tuhame tunawakaraisha. nimemsihi mwenzi wangu apunguze lakini anadai hafanyi makusudi anapokaribia mshindo tu ndo huwa balaa. Nifanyeje mwenzenu na kesi tayari ipo kwa mjumbe majirani wamecharuka
Jamani nimetumia akili, nguvu, juhudi, jitihada, maarifa na kila kitu ili mradi tu afurahi; lakini sina hakika kama nimegonga mwamba au ni kwamba ameamua tu kuniumiza. Ndio kusema hanitaki? Au anayoyasema ni kweli! Sasa nyumbani kimenuka, na hataki tena nile.
Hapa ameniambia nimtafutie nauli aende zake! Kumpenda nampenda, nifanyeje?